God is good and evil

Watu wanahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe yeye kama yeye, kwamba yupo.

They are just trying to defend a fictional character.
Mungu sio akili wala experience, so huwezi kutaka kumwelezea Mungu kwa kutumia akili. God is beyond mind, so the mind will never get to know God.
 
Mungu sio akili wala experience, so huwezi kutaka kumwelezea Mungu kwa kutumia akili. God is beyond mind, so the mind will never get to know God.
Sasa wewe Utasemaje Mungu yupo kwa kutumia akili hiyohiyo?

Ulijuaje na unathibitishaje Mungu huyo yupo?
 
Nyundo nzito lakini hongera kwa ufafanuzi
 
Sasa Mungu ni nani? Au ni nini? Na yuko wapi?
 
Kila siku mmebakia kwenye hiyo hiyo argument, wakati debate imeisha move, na sisi wenzenu tukaendelea kuvumbua uchafu alionao Paedophile Mohammad na shetan wake allah, na malaya aisha
Ndio Yesu umemfanya kuwa mungu hapo?
 
Unaleta videos za watu tu wakihangaika kumuongelea na kumuelezea huyo Mungu.

Huleti na huna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo.
Kwa i hivi wewe unayo akili?
 
kwaio maisha Kama mchezo eti unapewa mtihani ili ufeli ukachomwe moto.? siokweli bhana huuyo muumba atakua ana mambo yakitoto mbona.?
 
Unaongea vitu ambavyo hata huvielewi.

Unaweza kuthibitisha kwamba una hiyo Akili?

Maana kui define umeshindwa.
Wewe unasema nimeshindwa , wewe si ui define unashindwa kitu gani ? Na zaidi unasema wewe unavielewa si tuambie , wewe unayo hiyo akili?
 
Wewe unasema nimeshindwa , wewe si ui define unashindwa kitu gani ? Na zaidi unasema wewe unavielewa si tuambie , wewe unayo hiyo akili?
Aliyeleta mada za akili ni nani?

Si wewe ulileta hoja ya akili.

Nikakuuliza Akili ni nini? Hujajibu unaruka ruka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…