Pre GE2025 Godbless Lema: Abdul muepuke Wenje, akikuomba hela ya mafuta usimpe muitie polisi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa yana msaada gani kwa Taifa?
 
Wenje "omera" ndiye mwenye connection na Abduli....siyo Abdul Nondo!
 
Naona Chadema safari hii mmeamua kutia kwapani ajenda ya ufisadi na utekaji kabisa. Mmeamua kuanzisha ajenja mpya ya mipasho. Huyu leo anampasha yule na yule nae kesho anampasha huyu kupitia press conference
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…