Zegreaty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,253
- 1,056
Dawa itakua imekuingia kisawasawa wastueni bodaboda tena waende kwa chea wamshawishi ahudhulie mdahalo mana hadi sasa anatumia mbinu za vegetables tupu hamjamshauri vyemaLema huna jipya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa itakua imekuingia kisawasawa wastueni bodaboda tena waende kwa chea wamshawishi ahudhulie mdahalo mana hadi sasa anatumia mbinu za vegetables tupu hamjamshauri vyemaLema huna jipya.
Hapo kwenye Bangi ondoa muwekee kitu kingine!Upuuzi ni wewe kuvuta bangi ghetto kwa wenje kisha kumtuma awe ombaomba na Dalali
usiha au usaha?Ila amempa usiha mzuri mwana wa rais.
Unampenda sana lissu mbona unajificha akikuita ukaandamane kima wa mlima kitonga!Upuuzi ni wewe kuvuta bangi ghetto kwa wenje kisha kumtuma awe ombaomba na Dalali
Acha uovu uanikweSasa huu si upuuzi!
Mwambieni Mbowe aache tabia za kiccm, ahudhurie mdaharo ili tujue sera,hoja na agenda zake za kwa nini anagombea tena ?Lema anajidhalilisha sana, kageuka mtu wa mipasho na kusutana. Very sad.
Swali zuri sana.Huyo Abdul anafanya biashara gani za kuwa na hela za kugawia watu?
upuuziWakuu,
Lema ameendelea kurusha mawe kwa Wenje.
Sakata la Abdul limeendelea kuwa gumzo
View attachment 3204402
Kileo ana wenge sana yule ChaliiDeus Malya na kileo mzee wa Tindikali vijana wa mbowe wote wanamuogopa Lema maana anawajua vizuri sana
Wakuu,
Lema ameendelea kurusha mawe kwa Wenje.
Sakata la Abdul limeendelea kuwa gumzo
View attachment 3204402
Wakuu,
Lema ameendelea kurusha mawe kwa Wenje.
Sakata la Abdul limeendelea kuwa gumzo
View attachment 3204402
Acha kabisa hamna watu humu,ile mihemuko ya mawakili wao tu nilijua hawa watu wana shida kubwa vichwani mwaoIla hiki chama naona kina waropokaji sana
Juzi bavicha mbeya wanasema hawatashiriki uchaguzi mkuu ,wakati maamuzi yanakiwa yatolewe na kamati kuu. Hamna mpangilioAcha kabisa hamna watu humu,ile mihemuko ya mawakili wao tu nilijua hawa watu wana shida kubwa vichwani mwao
😂😂..nondo mwenetu hali mbaya waya mkali,magomeni pale chini tunakula nae maandazi na malage..Wenje "omera" ndiye mwenye connection na Abduli....siyo Abdul Nondo!