minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Waropokaji ni Mbowe masimango na Dalali wenje na nyinyi chawa njaa waoIla hiki chama naona kina waropokaji sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waropokaji ni Mbowe masimango na Dalali wenje na nyinyi chawa njaa waoIla hiki chama naona kina waropokaji sana
Ukila pesa ya mbowe na wenje unajitoa fahamu kabsa, kwani husomi kila siku wanasema Mbowe kaiba pesa za chama hawataki ufisadi wakeNaona Chadema safari hii mmeamua kutia kwapani ajenda ya ufisadi na utekaji kabisa. Mmeamua kuanzisha ajenja mpya ya mipasho. Huyu leo anampasha yule na yule nae kesho anampasha huyu kupitia press conference
Nimesoma hivyo mara huyu kaongea hivi mara huyu hivi watawapa huge advantage CCM next national electionWaropokaji ni Mbowe masimango na Dalali wenje na nyinyi chawa njaa wao
Kwa katiba ipi?Huyu abduli Huwa anapata wapi hizo Hela za mafuta?Mama mkanye mwanao aache kugawa hovyo rushwa la sivyo ukimaliza tu uongozi wako tunakufungulia mashitaka.
Kaa kwa kutulia usiwafundishe cha kusemaNaona Chadema safari hii mmeamua kutia kwapani ajenda ya ufisadi na utekaji kabisa. Mmeamua kuanzisha ajenja mpya ya mipasho. Huyu leo anampasha yule na yule nae kesho anampasha huyu kupitia press conference
WaepukaneWakuu,
Lema ameendelea kurusha mawe kwa Wenje.
Sakata la Abdul limeendelea kuwa gumzo
View attachment 3204402
Wenje ana njaa iliyopitiliza ni mtu wa hovyo mno, hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba 10 tuWenje n Abdul wayazingatie hayo maneno ya Lema ili kesho yao iwe na fanaka.
Kuuza nchi kupitia mzazi wakeHuyo Abdul anafanya biashara gani za kuwa na hela za kugawia watu?
Njaa za wenje ni hatari kwa Siasa za upinzaniDahhhh....
Siasa hizi...🤔
Deus Malya na kileo mzee wa Tindikali vijana wa mbowe wote wanamuogopa Lema maana anawajua vizuri sanaSasa lema haya mawe unarusha kwenye kambi ya kaka mkubwa angalia
Katiba hii hii tuliyonayo.katiba inamtaka mtumishi wa umma kuorodhesha Mali zake zote na kuzitolea ufafanuzi namna alivyozipata.Hajapatikana tu kiongozi wa kuzisimamia Kwa ufasaha.Kwa katiba ipi?
Au ndio yale manoti ya dipii wedi?Kuuza nchi kupitia mzazi wake
Kupunguza ufisadi na matumizi mabaya ya pesa za walipakodiSasa yana msaada gani kwa Taifa?