Pre GE2025 Godbless Lema: Abdul muepuke Wenje, akikuomba hela ya mafuta usimpe muitie polisi

Pre GE2025 Godbless Lema: Abdul muepuke Wenje, akikuomba hela ya mafuta usimpe muitie polisi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona Chadema safari hii mmeamua kutia kwapani ajenda ya ufisadi na utekaji kabisa. Mmeamua kuanzisha ajenja mpya ya mipasho. Huyu leo anampasha yule na yule nae kesho anampasha huyu kupitia press conference
Ukila pesa ya mbowe na wenje unajitoa fahamu kabsa, kwani husomi kila siku wanasema Mbowe kaiba pesa za chama hawataki ufisadi wake
 
Mbowe ni mwizi na wenje ni Dadali na ombaomba chawa njaa, sasa joulize hao watu wawili wa hovyo wakiiba kura na kuwa viongozi wa juu hicho chawa kitakuwaje? Wahuni wawili wanaenda kuongoza chadema kihuni huni
 
Naona Chadema safari hii mmeamua kutia kwapani ajenda ya ufisadi na utekaji kabisa. Mmeamua kuanzisha ajenja mpya ya mipasho. Huyu leo anampasha yule na yule nae kesho anampasha huyu kupitia press conference
Kaa kwa kutulia usiwafundishe cha kusema
 
Sasa lema haya mawe unarusha kwenye kambi ya kaka mkubwa angalia
 
Mbowe kachemka sana kumweka mtu wa hovyo kama wenje ni Aibu kubwa, sasa chadema Mbowe inaonekana ni hatari sana imejaa madhaifu mengi, mwenyekiti Mbowe mwizi wa pesa za chama, na wenje ombaomba Dalali ni muunganiko hatari haijapata kutokea
 
Back
Top Bottom