Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili linamaana gani ikiwa anayewekwa huru hayupo nchini na yupo "uhamishoni"?View attachment 1678575
Waliomshitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao jambo lililopelekea Mahakama kuamua kumwachia huru .
Ikumbukwe kwamba Mh Lema aliweka hadharani orodha ya watu waliouawa kinyama mkoani Singida kutokana na kuiunga mkono Chadema .
Mwanasheria Mkuu wa Tanzania anaitwa Kilangi ni vema ukamcheki atoe ufafanuziHili linamaana gani ikiwa anayewekwa huru hayupo nchini na yupo "uhamishoni"?
Alafu, hiyo Kesi iliendaje yeye hayupo au mawakili wake walikuwepo? Kwann zile kesi za Lisu haziendeshwi namna hiyo akiwa hayupo?
ukweli mtupu .Bora alitafuta hifadhi mapema. Angekuwa yupo humu nchini, huenda ungekuta yuko mahabusu mpaka muda huu na hiyo kesi isingefutwa.
Jicho la tatu: Waliomua Mawazo wamehukumiwa kifo, na Lema leo kesi yake imefutwa, huku Sugu nae hoteli yake ikisalimika kuvunjwa. Si ajabu tukasikia na kesi za Lissu zimefutwa.
Je, si kuwa tuhuma zilizopelekwa ICC zinachangia maamuzi haya?
Nawaza tu.
Ni kweli tupu mkuu. Hili halina ubishiKutokana na Lema kuachiwa huru ni wazi sasa kwamba yote aliyoyaongea yalikuwa KWELI TUPU .
Mungu mbariki LemaNi kweli tupu mkuu. Hili halina ubishi
Kibibi cha Tandika kwa maneno!Mwanasheria Mkuu wa Tanzania anaitwa Kilangi ni vema ukamcheki atoe ufafanuzi
Wengine tunahoji kwanini aliamua kutafuta hifadhi,majibu tunazidi kuthibitisha mashtaka yakikuwa wa kubambikiwa kwakuhesabika kama mmoja wa wnaosemwa kukwamisha maendeleo badala ya kuchochea maendeleo.View attachment 1678575
Waliomshitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao jambo lililopelekea Mahakama kuamua kumwachia huru .
Ikumbukwe kwamba Mh Lema aliweka hadharani orodha ya watu waliouawa kinyama mkoani Singida kutokana na kuiunga mkono Chadema , hicho ndio kikawa chanzo cha kukamatwa na kushitakiwa .
Kutokana na Lema kuachiwa huru ni wazi sasa kwamba yote aliyoyaongea yalikuwa KWELI TUPU .
Mungu ibariki Chadema .
Mara nyingi hauwezi kukamilia kwakuwa ni za kuwakomoa waliohesabika ni wakwamisha maendeleo,badala ya wachochea maendeleo.Kesi nyingi ziko hivyo!Watu wanasota rumande eti upelelezi haujakamilika!Shame!
Ni moja ya njia za kupunguza sehemu ya makosa yaliyotendwa na wahusika,ili kupunguza makalu ya kesi zidhi ya wote wanaohusika.Bora alitafuta hifadhi mapema. Angekuwa yupo humu nchini, huenda ungekuta yuko mahabusu mpaka muda huu na hiyo kesi isingefutwa.
Jicho la tatu: Waliomua Mawazo wamehukumiwa kifo, na Lema leo kesi yake imefutwa, huku Sugu nae hoteli yake ikisalimika kuvunjwa. Si ajabu tukasikia na kesi za Lissu zimefutwa.
Je, si kuwa tuhuma zilizopelekwa ICC zinachangia maamuzi haya?
Nawaza tu.
Mlitaka kumuua eh abaki afe. WE do not need a dead hero!Kamanda kaenda kujificha
Tunawashukuru wazalendo wote waliomtonya Lema kuhusu njama hizoMlitaka kumuua eh abaki afe. WE do not need a dead hero!
Ni kweli!Inaelekea kuna mabadiliko fulani yanatokea lakini nahisi hawataki ionekane kuwa wanabadilka.Bora alitafuta hifadhi mapema. Angekuwa yupo humu nchini, huenda ungekuta yuko mahabusu mpaka muda huu na hiyo kesi isingefutwa.
Jicho la tatu: Waliomua Mawazo wamehukumiwa kifo, na Lema leo kesi yake imefutwa, huku Sugu nae hoteli yake ikisalimika kuvunjwa. Si ajabu tukasikia na kesi za Lissu zimefutwa.
Je, si kuwa tuhuma zilizopelekwa ICC zinachangia maamuzi haya?
Nawaza tu.
Mahakama zetu ziko huru na hakiii. Hongera zake mzee lemaa, kwa kutendewaa hakiiView attachment 1678575
Waliomshitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao jambo lililopelekea Mahakama kuamua kumwachia huru .
Ikumbukwe kwamba Mh Lema aliweka hadharani orodha ya watu waliouawa kinyama mkoani Singida kutokana na kuiunga mkono Chadema , hicho ndio kikawa chanzo cha kukamatwa na kushitakiwa .
Kutokana na Lema kuachiwa huru ni wazi sasa kwamba yote aliyoyaongea yalikuwa KWELI TUPU .
Mungu ibariki Chadema .