Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
😲 Lema ni Mzee kumbe!Mahakama zetu ziko huru na hakiii. Hongera zake mzee lemaa, kwa kutendewaa hakii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😲 Lema ni Mzee kumbe!Mahakama zetu ziko huru na hakiii. Hongera zake mzee lemaa, kwa kutendewaa hakii
Kwenye ile ya ICC naomba uongezwe na wewe unayechochea mauaji ya wengine.Safi kabisa, sasa kibao kigeuzwe kwa Wasaliti waliomtonya mpaka akasepa.
Mahakama zaweza kuwa huru pindi mashinikizo ya kisiasa ya kikoma.Mahakama zetu ziko huru na hakiii. Hongera zake mzee lemaa, kwa kutendewaa hakii
and god bless lema...🙏View attachment 1678575
Waliomshitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao jambo lililopelekea Mahakama kuamua kumwachia huru .
Ikumbukwe kwamba Mh Lema aliweka hadharani orodha ya watu waliouawa kinyama mkoani Singida kutokana na kuiunga mkono Chadema , hicho ndio kikawa chanzo cha kukamatwa na kushitakiwa .
Kutokana na Lema kuachiwa huru ni wazi sasa kwamba yote aliyoyaongea yalikuwa KWELI TUPU .
Mungu ibariki Chadema .