Godbless Lema afutiwa mashitaka ya uchochezi huko Singida

Godbless Lema afutiwa mashitaka ya uchochezi huko Singida

View attachment 1678575

Waliomshitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao jambo lililopelekea Mahakama kuamua kumwachia huru .

Ikumbukwe kwamba Mh Lema aliweka hadharani orodha ya watu waliouawa kinyama mkoani Singida kutokana na kuiunga mkono Chadema , hicho ndio kikawa chanzo cha kukamatwa na kushitakiwa .

Kutokana na Lema kuachiwa huru ni wazi sasa kwamba yote aliyoyaongea yalikuwa KWELI TUPU .

Mungu ibariki Chadema .
and god bless lema...🙏
 
Back
Top Bottom