View attachment 1678575
Waliomshitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao jambo lililopelekea Mahakama kuamua kumwachia huru .
Ikumbukwe kwamba Mh Lema aliweka hadharani orodha ya watu waliouawa kinyama mkoani Singida kutokana na kuiunga mkono Chadema , hicho ndio kikawa chanzo cha kukamatwa na kushitakiwa .
Kutokana na Lema kuachiwa huru ni wazi sasa kwamba yote aliyoyaongea yalikuwa KWELI TUPU .
Mungu ibariki Chadema .