Godbless Lema ajiangalie

Godbless Lema ajiangalie

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,011
Reaction score
4,705
Nabii Mkuu,

Kada kindakindaki wa chadema Mbunge wa zamani wa Arusha mjini, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kaskazini asipoangalia Makonda anaweza kumtengenezea zengwe hapo Arusha

Bila shaka munakumbuka kuwa hapo Arusha aliwahi kudaiwa kuwa ni tapeli wa Magari, kwa Makonda alivyo na chuki na wapinzani hashindwi kutengeneza waigizaji kama alivyowahi kufanya kwa Bishop Gwajima na wengineo wakati anataja wauza madawa ya kulevya.

Lema kuwa makini intelijensia yako isipokuwa vizuri unatandikwa tukio moja na litakuondolea sifa zako zote

kila la heri
 
Bashite zero brain ni akili ndogo sana ni mifumo mibovu ya uteuzi katika hii nchi ndio inawaibua akina bashite .
Mtu inajulukana wazi kabisa jamaa kafoji limarehemu Magufuli likatamka hadharani hata kama kafanya hivyo ni sawa.
Makonda anachojua ni kujipendekeza ka akina mwijaku tu hana akili ya godbless lema hata thelusi yake
 
Bashite zero brain ni akili ndogo sana ni mifumo mibovu ya uteuzi katika hii nchi ndio inawaibua akina bashite .
Mtu inajulukana wazi kabisa jamaa kafoji limarehemu Magufuli likatamka hadharani hata kama kafanya hivyo ni sawa.
Makonda anachojua ni kujipendekeza ka akina mwijaku tu hana akili ya godbless lema hata thelusi yake
mkombozi wa wana arusha kaingia wahuni kama lema wajiandae kupandishwa mahakamani soon
 
Nabii Mkuu,kada kindakindaki wa chadema Mbunge wa zamani wa Arusha mjini, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kaskazini asipoangalia makonda anaweza kumtengenezea zengwe hapo Arusha

Bila shaka munakumbuka kuwa hapo Arusha aliwahi kudaiwa kuwa ni tapeli wa Magari, kwa makonda alivyo na chuki na wapinzani hashindwi kutengeneza waigizaji kama alivyowahi kufanya kwa Bishop Gwajima na wengineo wakati anataja wauza madawa ya kulevya.

Lema kuwa makini intelijensia yako isipokuwa vizuri unatandikwa tukio moja na litakuondolea sifa zako zote

kila la heri
arudishe lori la watu mapema, mnyang'anywaji anakaribua kuskizwa 🐒
 
Maisha ya wajinga ni wasiwasi tu kuhusu ubaye wao

Ni mhimu kujiamini, Vijana wa Chadema mnahofu sana na Makonda, akikohoa tu, tayari mnatetemeka

Mnaelekea ujingani nyinyi
 
ya kwamba mnyang'anyi, mpiga ngeta na mpiga bomba maarufu chuga enzi hizo dhidi ya malori ya watu, ni nabii msafi kama pamba, right?🐒
Kubishana na mjinga ni kujichafua tu, hivi kwa siasa za Tanzania zilivyo unawezaje kuwa Chadema na ukaachwa tu kwa makosa hayo? Tumia basi hata akili yako ndogo japo ile ya kuvukia barabara tu
 
Kubishana na mjinga ni kujichafua tu, hivi kwa siasa za Tanzania zilivyo unawezaje kuwa Chadema na ukaachwa tu kwa makosa hayo? Tumia basi hata akili yako ndogo japo ile ya kuvukia barabara tu
hasafishiki huyo mwizi hata umpambe vipi anajulikana ni mwizi tuuu na hapo wewe ndiyo unatakiwa uone aibu maana unateta wezi
 
Lema kweli alikua ni mwizi wa magari mbona hapa Arusha inajulikana sana, na hivi sahivi hana kazi sijui kama hataanza kuiba tena
 
Back
Top Bottom