Huyo si amemjua Lema baada ya kuwa mbunge ila yule Lema mwizi mfuga rasta hajawahi kumshuhudia@ erythrocyte anamwita nabii yaani chadema wezi wanaitwa manabii ni aibuu sana hii inamaana hata chama kina tabia hiyo
kumbuka alimtaja FAM kwenye list ya wauza madawaYaani mtu wa Kolomije amtengenezee Zengwe Nabii?
hahaaaa huyo kazi yake kusifia tu hajui background za watu walikuwajeHuyo si amemjua Lema baada ya kuwa mbunge ila yule Lema mwizi mfuga rasta hajawahi kumshuhudia
mkuu neno NABII wewe unalielewa vipihuyo nabii wa konyo labda yaani mwizi tapeli mpiga dili mzurumaji naye mnamwita nabii yaani chadema mnawazimu kabisa ngoja sasa kamanda makonda amekwenda huko kwaajili ya watu wahuni kama lema mbona atahenya
yaan kwamba kuna wa kuthubutu hata kumweleza apo chadema mnavyoogopana hivyo 🐒Kubishana na mjinga ni kujichafua tu, hivi kwa siasa za Tanzania zilivyo unawezaje kuwa Chadema na ukaachwa tu kwa makosa hayo? Tumia basi hata akili yako ndogo japo ile ya kuvukia barabara tu
inawezekana mchana kweupe!Yaani mtu wa Kolomije amtengenezee Zengwe Nabii?
Asante sana mkuu. Ukweli ulioje!Bashite zero brain ni akili ndogo sana ni mifumo mibovu ya uteuzi katika hii nchi ndio inawaibua akina bashite .
Mtu inajulukana wazi kabisa jamaa kafoji limarehemu Magufuli likatamka hadharani hata kama kafanya hivyo ni sawa.
Makonda anachojua ni kujipendekeza ka akina mwijaku tu hana akili ya godbless lema hata thelusi yake
Nabii wa nini, tapeli tu huyoYaani mtu wa Kolomije amtengenezee Zengwe Nabii?
We km hujalewa basi ni mwehu, Lema kabisa? Huyo mhuni mvuta bange hawezi tena kamwe kuwa mbunge wa jiji la kitalii. Yule mshamba agombee kwa MachameBashite zero brain ni akili ndogo sana ni mifumo mibovu ya uteuzi katika hii nchi ndio inawaibua akina bashite .
Mtu inajulukana wazi kabisa jamaa kafoji limarehemu Magufuli likatamka hadharani hata kama kafanya hivyo ni sawa.
Makonda anachojua ni kujipendekeza ka akina mwijaku tu hana akili ya godbless lema hata thelusi yake
We ndio msanii wa kijiweniNchi kwa ujumla inaendeshwa kisanii sani
Matukio na vioja ndivyo mwelekeo
Mnataka na Ukuu wa Mkoa nao atimuliwe?inawezekana mchana kweupe!
Chawa Mkuu weweWe ndio msanii wa kijiweni
Mimi siongelei ishu ya lema kugombea ubunge.We km hujalewa basi ni mwehu, Lema kabisa? Huyo mhuni mvuta bange hawezi tena kamwe kuwa mbunge wa jiji la kitalii. Yule mshamba agombee kwa Machame
Atimuliwe na nani!Mnataka na Ukuu wa Mkoa nao atimuliwe?
Unamuita muhuni kwani ulipata taarifa kuwa kapita na mamako?mkombozi wa wana arusha kaingia wahuni kama lema wajiandae kupandishwa mahakamani soon
CuF ,imagiza contena la visuEnzi za RPC Omar 🐼