Godbless Lema ajiangalie

@ erythrocyte anamwita nabii yaani chadema wezi wanaitwa manabii ni aibuu sana hii inamaana hata chama kina tabia hiyo
Huyo si amemjua Lema baada ya kuwa mbunge ila yule Lema mwizi mfuga rasta hajawahi kumshuhudia
 
huyo nabii wa konyo labda yaani mwizi tapeli mpiga dili mzurumaji naye mnamwita nabii yaani chadema mnawazimu kabisa ngoja sasa kamanda makonda amekwenda huko kwaajili ya watu wahuni kama lema mbona atahenya
mkuu neno NABII wewe unalielewa vipi
 
Kubishana na mjinga ni kujichafua tu, hivi kwa siasa za Tanzania zilivyo unawezaje kuwa Chadema na ukaachwa tu kwa makosa hayo? Tumia basi hata akili yako ndogo japo ile ya kuvukia barabara tu
yaan kwamba kuna wa kuthubutu hata kumweleza apo chadema mnavyoogopana hivyo 🐒

mumtimue halafu mbaki salama?🤣

si kama kawaida atachukua hizo Hilux mbili za m4c, zilizobaki apo HQ 🤣
 
Asante sana mkuu. Ukweli ulioje!
 
We km hujalewa basi ni mwehu, Lema kabisa? Huyo mhuni mvuta bange hawezi tena kamwe kuwa mbunge wa jiji la kitalii. Yule mshamba agombee kwa Machame
 
We km hujalewa basi ni mwehu, Lema kabisa? Huyo mhuni mvuta bange hawezi tena kamwe kuwa mbunge wa jiji la kitalii. Yule mshamba agombee kwa Machame
Mimi siongelei ishu ya lema kugombea ubunge.
Ishu ni kwamba bashite hana ujanja wa kumhujumu kwa vyovyote lema kwa sasa
Makonda alitamba enzi za magufuli ambaye hadi alikiri hadharani kwamba anamkubali hivyohivyo bashite pamoja na kufahamu kwamba amefoji jina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…