Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Kolimba aliuwawa? Na nani? Magufuli alitaka kuuwawa?
 
Wakiondoka wote shamba litaliwa na ngedere, walitakiwa kupambana mbona BobWine wa uganda hajakimbia nchi anapambana? Julius Malema wa Africa kusini, Maalim seif hajakimbia? Kama viongozi wa chadema ni waoga kiasi hiki ni wazi wabongo wote ni majejeta.

Zanzibar kule wamepambana kiasi chao na bado mapambano yanaendelea kwann wabongo ni waoga kiasi hiki?

Lissu hapaswi kukimbia pia yeye ni mgombea urais dunia inamfahamu sasa sana madam alisema wanataka kumuua alitakiwa atulie nchini, kumuua kiongozi wa upinzani ulimwengu unakuwa macho sana. Aende kwa matibabu halaf arudi.
 
Una uhakika gani wanajitisha wenyewe?

Lissu aliposema kuna watu wanamfuata fuata baadhi yetu tulisema hivyo hivyo.

Leo natamani niyameze maneno yangu!
Huyo Mama D yupo humu kutukana na kuwang'ong'a anaowaona wapinzani wa CCM bila kufikiria wanachokiongea. Inasikitisha sana. Watu wanaumia jamani.
 
Hicho ndicho walitaka walitaka waanzishe vita nchi ikiwaka moto wao hao tiketi wanazo wanakimbia nchi wanaacha watanzania wasio na pa kwenda wanachinjana kama kuku WAO MBIO KWA MABWANA ZAO WAZUNGU

Mungu mkubwa katushindia dhidi ya hii mishetani ya CHADEMA
 
Naanza kuamini,afrika organ muhim za nchi ,ndo zinaharibu taswila za nchi zao

Hii ni shida juu ya shida, nimefunga siku kumi nne, lakini sielewi mbona mungu Kama kweli u mkweli uniambii lazida japo ulisema nitafute mti mrefu kuliko yote tz nami sio mtafasili Sana wa maandiko nimejitahidi nimeuliza sipati jibu mpaka mda huu, mti mrefu ni upi? Wana wa Mungu

Ok Mungu pitia kwa viumbe vyako ulivyovileta Tanzania naomba nijulishwe mti mrefu kuliko yote Tanzania nini maana yake
 
Huyo Mama D yupo humu kutukana na kuwang'ong'a anaowaona wapinzani wa CCM bila kufikiria wanachokiongea. Inasikitisha sana. Watu wanaumia jamani.
Tofauti yangu na walio wengi humu, mimi huwa sisiti kuwakosoa watu ambao ninakubaliana nao kwenye baadhi ya mambo.

Ndo maana watu wenye upeo finyu huwa hawanielewi.

Kwangu nikiona uovu, nikiona mtu anaonewa, hata kama huwa sikubaliani naye kwenye baadhi ya mambo, nitamtetea.

Na nikiona mtu ninayekubaliana naye kwenye baadhi ya mambo anafanya uonevu, nitampinga na kumsema.
 
you dont have right in this matter, umekuwa mstari wa mbele kukebehi demokrasia Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…