Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Huo ndio ukweli, usishangae kesho ukasikia mwingine kakimbilia ubalozi wa marekani Zambia.
 
Lema hana lolote sana sana labda anataka kurudi kwenye kazi yake ya wizi wa magari toka Tanzania na kuyauza Kenya!
 
We Dada una funza kichwani

Hujasikia ile clip kheri James anasema " sasa hivi ni sindano ya sumu tu pyuuu, kwisha kazi yake" ?????
Alikuwa anamaanisha sumu kama ile ambayo Mr Mzungu alikuwa akiimwaga kila kukicha kila mahali kwenye mkutano wake wa kampeni, dhidi ya Dkt. Magufuli. Hiyo ni lugha tu ya wanasiasa na sayansi ya uongozi, saikolojia & ushawishi. Usikae ukatishika, ukachukulia mambo 'kilalisia' (literally).
 
Mungu sasa ana waswitch wanajiumbua wenyewe.
Lema anakipi mpaka kutishiwa huyu fala?
awanakazi za kufanya hapa bongo ubunge wao umekoma wanatafuta fursa za maisha U.S na Europe wakabebe maboksi kwakisingizio cha kutishiwa kuuwawa.

Mwenye kipi ndiye anastahili kutishiwa?
 
Point taken
 
Huo ndio ukweli, usishangae kesho ukasikia mwingine kakimbilia ubalozi wa marekani Zambia.
Tutasikia tu mkuu,

Ndio gia yao mpya,

Yaani bora haya yametokea tumewajua kuwa hawa ni watu wa aina gani.

Mungu huwa ana njia zake. Hawa watu sio kabisa.
 
Hivi ilikua je hadi Tanzania iliyokuwa Geneva ya Afrika kutumbukia kwenye mkwamo wa kikatili kizandiki ushetani wa utawala usioheshimu utu haki wala utawala wa kidemokrasia?
Mungu rehemu taifa hili linalozama matopeni kwa kasi ya 5G.
Watu wengi hawapendi uzalendo; kiongozi anayeleta maendeleo wanamzodoa na kumtukana eti dikteta uchwara. Dah! Aliyetuletea mdudu demokrasia wa namna hii alitukomesha sana.
 
Lema hana lolote sana sana labda anataka kurudi kwenye kazi yake ya wizi wa magari toka Tanzania na kuyauza Kenya!
Kama upo nje ya genge la Gambo hutafahamu hayo, wewe ni keyboard guard au u just a foreman manipulater hapo Lumumba .
 
Binafsi nisichangie chochote kumhusu.

Ila tu.... kama nchi yangu Tanzania ip katika hii hali wanasiasa wanayotaka kutuaminisha...tusingeshindwa kuingia mtaani na kuwaunga mkono.

Mbona hapa kitaa barida tuu...

Ukiwa kondoo huna tatizo. Nilichokiona kwenye uchaguzi wetu nilijua kwa sasa nchi yetu inaelekea wapi.
 
Ours is a matured democracy. Pls stop lying, OK?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…