Godbless Lema alalamika DC aliyeharibu shamba la Mbowe Wilayani Hai kuteuliwa Ubalozi

Godbless Lema alalamika DC aliyeharibu shamba la Mbowe Wilayani Hai kuteuliwa Ubalozi

Leo kateuliwa balozi kumpa shukrani kwa matendo yake maovu wakati wa magufuli.
Alifyeka shamba la Mbowe kama shetani vile na mbwembwe zote mbele ya video kuuhakikishia umma kuwa ni katili mfuasi wa Jiwe.
Wewe una chuki binafsi na Magufuli, Magufuli aliagiza mashamba yote ambayo hayaendelezwi yanyan'ganywe wapewe wengine wenye sifa waziendeleze hakuna sehemu alisema yaharibiwe huyo balozi alifanya kwa utashi wake binafsi
 
Wewe una chuki binafsi na Magufuli, Magufuli aliagiza mashamba yote ambayo hayaendelezwi yanyan'ganywe wapewe wengine wenye sifa waziendeleze hakuna sehemu alisema yaharibiwe huyo balozi alifanya kwa utashi wake binafsi
siwezi kuongeza neno! Was magufuli a friend of opposition?
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amelalamikia uteuzi wa Gelasius Bakyana kuwa Balozi

Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe

Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter

God bless you all!

Pia soma

View attachment 2631189
Kulalamika haitoshi si wanao uwezo wa kuombea watu wafe- akaombe kwa Mungu wake. Yaani Gaidi Mbowe alime kwa namna inayohatarisha chanzo cha maji halafu asichukuliwe hatua?
 
Toka lini Tiss akatemwa kizembe, alipotoka mtwara chap alienda zake korea huko ubalozini
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amelalamikia uteuzi wa Gelasius Bakyana kuwa Balozi

Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe

Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter

God bless you all!

Pia soma

View attachment 2631189
Inategemea atateuliwa kuwakilisha nchi ktk taifa gani. Iwapo atapangiwa mataifa ya marekani au ulaya tuhuma hizi zaweza kumkwaza iwapo zitawasilishwa katika mataifa hayo kwa wahusika. Wenzetu wako very keen kwa vitendo vya watawala waonevu na hawawezi kufumbia macho mtu wa aina hii akawa mwakilishi kwa nchi zinazozingatia utawala wa sheria, haki na demokrasia. Watch this space
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amelalamikia uteuzi wa Gelasius Bakyana kuwa Balozi

Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe

Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter

God bless you all!

Pia soma

View attachment 2631189
Sasa unampangia Rais nani amteuwe? Acheni hoja za namna hii.
 
Unafikiri ni jiwe NDIO alikua anarudiikiwa!!?

Ni phase na trend ya utawala NDIO iliruhusu yale!

Sio jiwe Bali utawala wake ulishapangiwa NINI cha kufanya!!na hicho ndio kulikua SAHIHI kufanyika!!

Mbowe ashukuru ana afya njema HADI Leo!!

Wangapi wakitangulia wakati ule!!

Unafikiri china kilitunga hayo!!?ilikua HIVYO kufanyika KWA MALENGO maalum sio KWA mbowe tu Bali na wote yaliyowakuta!!
Jiwe alikuwa anapangiwa cha kufanya katika utawala wake? Na nani? Kwa malengo gani? Mbona basi alimpangia mambo ya ovyo sana? Mpangaji alikuwa shetani?😳

Labda utasema nahitaji “akili ya ziada” kuelewa haya.
 
Jiwe alikuwa anapangiwa cha kufanya katika utawala wake? Na nani? Kwa malengo gani? Mbona basi alimpangia mambo ya ovyo sana? Mpangaji alikuwa shetani?😳

Labda utasema nahitaji “akili ya ziada” kuelewa haya.
Mtafute jamaa anaitwa samurai halafu ile comment ya kwanza utakayo iona fungua utaona maelekezo aliyokua amepewa kuyaua mafisadi na kuyafilisi KABISA!nenda kasome tena kaandika "hahaha samiah"
 
Mtafute jamaa anaitwa samurai halafu ile comment ya kwanza utakayo iona fungua utaona maelekezo aliyokua amepewa kuyaua mafisadi na kuyafilisi KABISA!nenda kasome tena kaandika "hahaha samiah"
Mkuu sihitaji kumtafuta huyo Samurai. Nimekwishaelewa. Nyinyi na Jiwe lazima ni watu maalum sana katika nchi hii. Bahati mbaya jiwe keshatutoka. Au nayo alipangiwa?
 
Back
Top Bottom