data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Ngoja kwanza..upi huo mkuu,funguka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kwanza..upi huo mkuu,funguka
Labda UWTUnaweza kukuta Mwamba alishatoa baraka zote
ANAJUA AS SHE WAS PART OF THE SYSTEMKama ni waovu na wameteuliwa!!.. Mama hajui au sio muovu au hakutenda huo uovu kwa utashi wake..
Wewe una chuki binafsi na Magufuli, Magufuli aliagiza mashamba yote ambayo hayaendelezwi yanyan'ganywe wapewe wengine wenye sifa waziendeleze hakuna sehemu alisema yaharibiwe huyo balozi alifanya kwa utashi wake binafsiLeo kateuliwa balozi kumpa shukrani kwa matendo yake maovu wakati wa magufuli.
Alifyeka shamba la Mbowe kama shetani vile na mbwembwe zote mbele ya video kuuhakikishia umma kuwa ni katili mfuasi wa Jiwe.
Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea. Mh. Mbowe amezungumza na #Jahazi moja kwa...www.jamiiforums.com
siwezi kuongeza neno! Was magufuli a friend of opposition?Wewe una chuki binafsi na Magufuli, Magufuli aliagiza mashamba yote ambayo hayaendelezwi yanyan'ganywe wapewe wengine wenye sifa waziendeleze hakuna sehemu alisema yaharibiwe huyo balozi alifanya kwa utashi wake binafsi
🏃♂️🏃♂️ANAJUA AS SHE WAS PART OF THE SYSTEM
Acheni wivu jamani, inawezekana kazawadiwa ubalozi, kwa kazi zake zilizotukuka.....naona labda ndo maridhiano yenyewe, na kubalini tu yaishe..Vyeo vya shukrani
SawaAcheni wivu jamani, inawezekana kazawadiwa ubalozi, kwa kazi zake zilizotukuka.....naona labda ndo maridhiano yenyewe, na kubalini tu yaishe..
Kwani Wapinzani ni marafiki wa Magufuli?siwezi kuongeza neno! Was magufuli a friend of opposition?
Kulalamika haitoshi si wanao uwezo wa kuombea watu wafe- akaombe kwa Mungu wake. Yaani Gaidi Mbowe alime kwa namna inayohatarisha chanzo cha maji halafu asichukuliwe hatua?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amelalamikia uteuzi wa Gelasius Bakyana kuwa Balozi
Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe
Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter
God bless you all!
Pia soma
- Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!
- RC Kilimanjaro: Tumevunja shamba la Mbowe kulinda mazingira
- Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
View attachment 2631189
yes, aliharibu yeye kwa kuwaua na kharibu urafikiKwani Wapinzani ni marafiki wa Magufuli?
Inategemea atateuliwa kuwakilisha nchi ktk taifa gani. Iwapo atapangiwa mataifa ya marekani au ulaya tuhuma hizi zaweza kumkwaza iwapo zitawasilishwa katika mataifa hayo kwa wahusika. Wenzetu wako very keen kwa vitendo vya watawala waonevu na hawawezi kufumbia macho mtu wa aina hii akawa mwakilishi kwa nchi zinazozingatia utawala wa sheria, haki na demokrasia. Watch this spaceMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amelalamikia uteuzi wa Gelasius Bakyana kuwa Balozi
Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe
Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter
God bless you all!
Pia soma
- Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!
- RC Kilimanjaro: Tumevunja shamba la Mbowe kulinda mazingira
- Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
View attachment 2631189
onesha ushahidi kuwa amewauayes, aliharibu yeye kwa kuwaua na kharibu urafiki
Kuhusu nini?Huyu jamaa nina wasiwasi..
Sasa unampangia Rais nani amteuwe? Acheni hoja za namna hii.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amelalamikia uteuzi wa Gelasius Bakyana kuwa Balozi
Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe
Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter
God bless you all!
Pia soma
- Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!
- RC Kilimanjaro: Tumevunja shamba la Mbowe kulinda mazingira
- Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
View attachment 2631189
Jiwe alikuwa anapangiwa cha kufanya katika utawala wake? Na nani? Kwa malengo gani? Mbona basi alimpangia mambo ya ovyo sana? Mpangaji alikuwa shetani?😳Unafikiri ni jiwe NDIO alikua anarudiikiwa!!?
Ni phase na trend ya utawala NDIO iliruhusu yale!
Sio jiwe Bali utawala wake ulishapangiwa NINI cha kufanya!!na hicho ndio kulikua SAHIHI kufanyika!!
Mbowe ashukuru ana afya njema HADI Leo!!
Wangapi wakitangulia wakati ule!!
Unafikiri china kilitunga hayo!!?ilikua HIVYO kufanyika KWA MALENGO maalum sio KWA mbowe tu Bali na wote yaliyowakuta!!
Mtafute jamaa anaitwa samurai halafu ile comment ya kwanza utakayo iona fungua utaona maelekezo aliyokua amepewa kuyaua mafisadi na kuyafilisi KABISA!nenda kasome tena kaandika "hahaha samiah"Jiwe alikuwa anapangiwa cha kufanya katika utawala wake? Na nani? Kwa malengo gani? Mbona basi alimpangia mambo ya ovyo sana? Mpangaji alikuwa shetani?😳
Labda utasema nahitaji “akili ya ziada” kuelewa haya.
Mkuu sihitaji kumtafuta huyo Samurai. Nimekwishaelewa. Nyinyi na Jiwe lazima ni watu maalum sana katika nchi hii. Bahati mbaya jiwe keshatutoka. Au nayo alipangiwa?Mtafute jamaa anaitwa samurai halafu ile comment ya kwanza utakayo iona fungua utaona maelekezo aliyokua amepewa kuyaua mafisadi na kuyafilisi KABISA!nenda kasome tena kaandika "hahaha samiah"