Utakuwa na walakini kwenye kipumulio chako kisichokuwa na meno. Unazusha ujinga usio na chembe ya ukweli. Kwa TAARIFA yenu waliomo kwenye sekta ya madini hasa wachimbaji wadogo wanampenda sana Doto. Ametatua shida zao nyingi mno. Wafanye tu hayo maamuzi lakini matokeo yake yanaweza kuwa Hasi vibaya mno.Biteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta.
Hata kipindi Magufuli amekufa lakini hajatangazwa wao ndiyo walikuwa wanataka kujimilikisha kitalu C pale Mererani.
Wamechelewa sana kumtoa UWAZIRI
Doto kinachomsumbua ni tamaa iliyopindukia ya utajiri wa haraka. Ni kama alikuwa anasubiria marehemu aondoke ili aweze kuonekana kwa uhalisia wake.Wizara ngumu sana...
Ila Kairuki alidumu bila mizengwe...
Kabisa kabisa. Waziri Biteko rekodi ya utendaji inambeba.Utakuwa na walakini kwenye kipumulio chako kisichokuwa na meno. Unazusha ujinga usio na chembe ya ukweli. Kwa TAARIFA yenu waliomo kwenye sekta ya madini hasa wachimbaji wadogo wanampenda sana Doto. Ametatua shida zao nyingi mno. Wafanye tu hayo maamuzi lakini matokeo yake yanaweza kuwa Hasi vibaya mno.
Hakuna kitu kibaya na cha laana kama ukabila aliouunda mwendazake.Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri.
Kwahiyo akifa wizara itakuwa wazi mpaka afufuke Dotto tena ?Nadhani dotto ni mtu pekee ambae anaiweza wizara hii.hakuna wizara isiyo na mapungufu .na ukiwa waziri sio kila kitu unafanya mwenyewe kuna vitu unakuwa upo na figure ya uwaziri husika ila mtu wa chini akiharibu anaeonekana m,baya ni kiongozi wa ngazi ya juu.Tanzania bila fitina haiwezekani.fitna ni kazi za watu zinazo wapa watu mtaji.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Hawana chuki na watu wa kanda ya ziwa SEMA wana chuki na wasukuma na genge lao.Wewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu! Unafikiri waziri awe anakaa getini analinda watu wasiibe! Tena nyinyi watu wa kaskazini ni majambazi sana mmeona utawala wa mama mnaiba Tanzanite halafu mnapeleka lawama kwa waziri! Tunajua mnachuki sana na watu wa kanda ya ziwa!
Kichaa wenu mwendazake mbona alitoa mawaziri wote akapachika wasukuma hamkusemaBiteko ataendela kuwepo sana tu! Yaani Huyu mama kama atakurupuka tena kama alivokurupuka kumtoa Kalemani nishati shauri yake! Watu wanachuki na Magufuli na watu wake! Inamaan waziri haruhusiwi kufanya biashara ya madini!
Ndo maana mnaambulia kutoa mawaziri kwa mihemuko ma chuki mnaweka mazuzu! Hivi suala hata la umeme nchi nzima athari yake ni kubwa sana!
Healing the nation from what?Fine ....as long she is healing the nation, not bad.
yaani aliyeyaingiza haya majamaa kwenye utawala aisee, hata sijui kwanini aliruhusu hili.Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri.
Kwani hana haki?Sijui walimpate wizara vyeti mtusi kabisa huyu yaan nchi hii walipewa wageni ilaaniwe awamu ya tano
Huyu ni mnyarwandaAliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri.
Mama anajalibu kuwatuliza wenye kelele. Ni kweli Biteko ni mpiga dili sana. Kuna haja akakaa pembeni.Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri.
[emoji23][emoji23][emoji23]Tale yupi? Wa darasa la saba B?!ataongea Lugha gani na wawekezaji au wanampa na mkalimani !??🥲🥲🥲
Ni afisa kipenyo huyu,,, amejificha kwenye unabiiAliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri.
Kwani amekufaPumzika kwa amani biteko