Godbless Lema amuomba Rais Samia kuchunguza kupotea kwa Ben Saanane na kushambuliwa kwa Tundu Lissu

They are serious social issues! Huwezi kuzungumzia maendeleo wakati watu walidhulumiwa na kuharibiwa maisha na biashara
 
Huyu mama ni walewale tu.Anaonekana ni mtu anayependa ku Please regime iliyotangulia!
 
Kama ndg yangu hatokaa kwa kutulia basi na apotezwe tu wala sitokuwa na muda nae kwa sababu ya kiherehere chake.
 
Pia ametoa dondoo za mahali pa kuanzia, ambapo aliyekuwa RPC wa Dodoma Murroto, Mbunge wa CCM Alexander Mnyeti, Paulo Makonda na Askofu Gwajima wametajwa kuweza kusaidia uchunguzi.

huyu lemma huwaga anamatatizo ya akili na sasa kama alikuwa anajifanya hajui hao aliyewapoteza ndiyoatajuwa maana gaidi yupo sehemu yqa kutaja makosa yote aliyofanya
 
Tunataka kujua taarifa ya kifo cha Magufuli kina Tundu Lissu na huyu lema walikuwaga wanazipatia wapi kabla hatujatangaziwa? Na huyu lema aliwahi kutabiri kifo cha JPM tulitaka ahojiwe vizuri atakuwa anajua chanzo cha kifo chake.
Yes Yes wakikuchoma na Pini na wewe unanunua super glue ndani utakutana...

na sindano 1 nzuri sana inayochoma "kama" au zaidi ya pini waliyotumia wao...

ningekua Rais ningeanza na utafiti wa aliemuua Rais then nafata tafiti zingine...
 
Tunataka kujua taarifa ya kifo cha Magufuli kina Tundu Lissu na huyu lema walikuwaga wanazipatia wapi kabla hatujatangaziwa? Na huyu lema aliwahi kutabiri kifo cha JPM tulitaka ahojiwe vizuri atakuwa anajua chanzo cha kifo chake.
Lema alioteshwa wewee, punguza hisia km za "mwendazake"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…