Godbless Lema amuonya Millard Ayo kwa kuonesha unyama wa Polisi wa Kenya na kuficha unyama wa Polisi wa Tanzania

Godbless Lema amuonya Millard Ayo kwa kuonesha unyama wa Polisi wa Kenya na kuficha unyama wa Polisi wa Tanzania

Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani kwa matakwa yako ni udikteta!
Unafikiri hayo mafanikio aliyapataje kama si kuripoti habari za upinzani na WCB?
Kwa hiyo Magufuli kulazimisha kuzuia mikutano ya siasa ili afanye yeye na CCM yake ni udikteta?
 
Dude!.Polisi huwajui wewe utakuja kukutana na mikiki yao utamkumbuka Mhe.Lema inawezekana Mhe.Lema yupo kisiasa zaidi lakini soma katikati ya maneno yake utagundua tabia za polisi tanzania,kenya,uganda and most of african countries hawaheshimu kabisa haki za raia uje kuzushiwa jambo ukamatwe na polisi hadi umefikishwa mahakamani ndo utajua millard ayo alipaswa kuwamulika!
Inafahamika tabia mbofu mbofu za polisi wakiafrika lakini Lema asimpangie Millard cha kuripoti kwa hivyo vigezo huo ni udikteta anaowasema wenzie
Kuripoti uovu ni jukumu la kila mwenye utashi lakini si kwa lawama na kupangiana majukumu as if Millard ni chombo cha public chenye kinatumia pesa za umma hivyo chakumbushwa majukumu yake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani kwa matakwa yako ni udikteta!
Du! Kiongozi umenena vyema sana.
Kila mtu afanye kile anachokipenda tusiingiliane kwenye majukumu.
Hawa wanasiasa huwa wanahisi watanzania wote ni wapumbavu...
 
Unafikiri hayo mafanikio aliyapataje kama si kuripoti habari za upinzani na WCB?
Kwa hiyo Magufuli kulazimisha kuzuia mikutano ya siasa ili afanye yeye na CCM yake ni udikteta?
ignoramus at its best!
 
Huyu naye sijui yukoje...vitisho ni vya Nini? Sasa uhuru wa vyombo vya habari ambao huwa unautaja uko wapi Kama unataka huyo aandike unachotaka wewe??!
Na nyie msiwe mnajitoa ufahamu moja kwa moja. Alichomlalamikia Ayo, ambacho na nyie B7 mnakijua, ni kuwa, ANAYOYATAARIFU KUFANYIKA HUKO KENYA, HATA HAPA TANZANIA YANAFANYIKA. Mbona ya hapa nyumbani hayaripoti?
Ni hicho tu. Sasa, kama kilicholalamikiwa sio kweli, basi mumuumbuwe kwa kuusema huo ukweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!
Chadema hawajielewi wamechanganyikiwa wanadandia kila kitu kutafuta kiki kwa pikipiki ajabu wanafeli vibaya
 
Duh!
Anampangia kazi tena?
Anahubiri Uhuru Wa kutoa maoni sasa kwanini ampangie kwani analipia kodi?
Anaelewa maana ya Uhuru binafsi?
Maudhui ya mhusika mmiliki na itikadi yake?
Aanzishe chake atoe habari atakavyo!
Chadema wanamuona kila mtu mbaya kumbe hawajui Kama wachawi ni wao wenyewe
 
Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!
Kuna kipindi mlikuwa mnawashambulia ITV,ningependa kuona una mawazo haya haya kwa chombo hicho cha habari!

Sioni shida ya alichokisema Lema,ni haki yake kutoa dukuduku lake,Milard ndiye anapaswa ajitathimini!
 
Duh!
Anampangia kazi tena?
Anahubiri Uhuru Wa kutoa maoni sasa kwanini ampangie kwani analipia kodi?
Anaelewa maana ya Uhuru binafsi?
Maudhui ya mhusika mmiliki na itikadi yake?
Aanzishe chake atoe habari atakavyo!
Katumia uhuru huo huo kutoa maoni yake,period!
 
Milard ayo nakukumbusha kuwa shetani hanaga rafiki .
 
Haaaa Haaaaaa Chadema wanatamani kuinyakua Millard Ayo liwe tawi kwa kuwa mmiliki ni Mkasikazini. Kati ya vyombo visivyoshobokea siasa ni Millard Ayo .Lema kakosa pumzi tayari.
 
Na nyie msiwe mnajitoa ufahamu moja kwa moja. Alichomlalamikia Ayo, ambacho na nyie B7 mnakijua, ni kuwa, ANAYOYATAARIFU KUFANYIKA HUKO KENYA, HATA HAPA TANZANIA YANAFANYIKA. Mbona ya hapa nyumbani hayaripoti?
Ni hicho tu. Sasa, kama kilicholalamikiwa sio kweli, basi mumuumbuwe kwa kuusema huo ukweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa Tanzania yanafanyika mambo gani ambayo hayaandikwi au hayatangazwi? ...Halafu kujitoa ufahamu maana yake Nini?? Kwanini isiwe nyie ndiyo mnajitoa ufahamu kwa kulalamika tu kila kukicha?

Serikali ikifanya hiki mnapinga almost everything...Sasa huko ndiyo kujitoa ufahamu...mmekalia majungu tu kila siku...hamuwezi kukabidhiwa dola kwa staili hiyo ya kwenu...watu mnaandamana Hadi magerezani?? Sasa huko ndiko kujitoa ufahamu...
 
Kuna Mshikaji wa A town aliniambia Lema ni Mkenya na ndiyo Maana muda Mwingi anatumiwa kuvichafua vyombo vya dola vya Tanzania.
Watanzania hatuna ugomvi na ndugu zetu Wakenya ila Wewe Mkenya umekuwa ukikata viuno pale Magazeti ya Kenya yanavyoandika kuhusu Rais wetu na Wanasahau kuhusu Rais wao.
Icon ya Tanzania ni Rais wetu Dr.John Pombe Magufuli na hatuna Rais Mwingine zaidi yake na ndiye Rais pekee aliyetamka Wazi kwamba Tanzania siyo nchi Masikini na Mimi nimethibitisha kuwa Si Masikini bali tùlikuwa tunaibiwa na mmoja wa Wezi ni ndugu zake Lem walituibia kwenye Tanzanite na Kwenye utalii mlima Kilimanjaro na Meru ila tunaendelea kuhakikisha hawarudii kutuibia madini yetu na wanayalabel kwa kuyatambulisha yanatoka Kenya wakiyauza kwenye mataifa mbalimbali.
Na Lem ukiendelea kutudharau Watanzania tutakutumia salaam ili ujue tunavyomheshimu na tunavyothamini kazi za Rais wetu na kila tulichokuwa hatuamini kama kitafanyika yeye amefanya. Wewe achana na Milardyayo, nenda kapambane na Mitivi na Magazeti ya kwenu.
 
Back
Top Bottom