Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
nabii mnyang'anyi alie okoka ana hadaa wananchi kwa ramli 🐒Nabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie.
Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu, imekuja baada ya Mtukufu Jaji kupiga danadana ya Ulimi kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Soka na Wenzake
View attachment 3082404
Arudishe magari ya wizi kwanza ndo ajiite nabiiNabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie.
Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu, imekuja baada ya Mtukufu Jaji kupiga danadana ya Ulimi kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Soka na Wenzake
Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Hivi ni kwanini wengi wanaotekwa na kupotezwa ni raia wa vyama vya siasa pinzani?
Eti mwizi wa magari anaitwa nabii !!Arudishe magari ya wizi kwanza ndo ajiite nabii
Kwani manabii wakoje?Kwahiyo lema ndo nabii?!!! Hivi hili taifa tuko serious kweli?!!!!!!!!
Nje ya madaArudishe magari ya wizi kwanza ndo ajiite nabii
Mbona hajamtabiria Mama kama alivyomtabiria Magufuli kuwa atakufa.Nabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie.
Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu, imekuja baada ya Mtukufu Jaji kupiga danadana ya Ulimi kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Soka na Wenzake
Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Hivi ni kwanini wengi wanaotekwa na kupotezwa ni raia wa vyama vya siasa pinzani?
Hata Jiwe alionywa kwanza, kwamba akiendelea atakufa na akafa kweliMbona hajamtabiria Mama kama alivyomtabiria Magufuli kuwa atakufa.
Eti alijifanya kuambiwa na Mungu JPM atakufa wakati alikuwa amedokezwa na watu JPM ana tatizo la ugonjwa wa moyo.
Upunguani siyo sifa. Wewe mahali pako sahihi ni Milemve hospital siyo JF. Hapa ni kwaajili ya walio wazima wa akili.Arudishe magari ya wizi kwanza ndo ajiite nabii
Wewe endelea kujizima dataUpunguani siyo sifa. Wewe mahali pako sahihi ni Milemve hospital siyo JF. Hapa ni kwaajili ya walio wazima wa akili.
Lema hajawahi kuhusishwa na wizi wa aina yoyote ile. Na laiti angekuwa na uhalifu, CCM chama kinachowabambikia kesi wapinzani kisingemwacha mtu mwenye tuhuma mtaani. Yaani wakatafute kesi za kumbakia mtu wakati kuna tuhuma halisi? Kuna vitu ukiwrka tu JF, unadhihirika ama ulivyo hayawani au mgonjwa wa akili kama unavyojidhihirisha hapa. Kwa sababu hujawahi kumiliki hata bajaji, unadhani gari linaibiwa kama mtu anavyoweza kuiba ubwabwa wa mama nitilie.
Mada si ni unabii wa lema?Nje ya mada
Lema amechanganyikiwa.Nabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie.
Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu, imekuja baada ya Mtukufu Jaji kupiga danadana ya Ulimi kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Soka na Wenzake
Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Hivi ni kwanini wengi wanaotekwa na kupotezwa ni raia wa vyama vya siasa pinzani?
Uking'olewa ubongo huwezi kuelewaLema amechanganyikiwa.
Namshauri aende zake Ontario tu,mbona anahoja muflisi kiasi hicho
Kwani Nabii mpaka utoke kwenye Maandiko ya huko Yordani?Kwahiyo lema ndo nabii?!!! Hivi hili taifa tuko serious kweli?!!!!!!!!
Au kama anabisha afanyiwe yeye Unabii aone kama hautatimiaKwani Nabii mpaka utoke kwenye Maandiko ya huko Yordani?
Sasa wewe kupewa konyagi na mbowe unajiona mjanja?Uking'olewa ubongo huwezi kuelewa
Nguzo kuu ya masikini ni Uchawi na matusiSasa wewe kupewa konyagi na mbowe unajiona mjanja?
Kuwa makini asije kudhani wewe ni joy mukya