Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Endelea kupiga porojoJPM olikuwa mgonjwa wa moyo tangu miaka hiyo ya 80, kabla hata hajaenda masomoni Uingereza.
Kifo chake kilipangwa na Mungu, msimpe sifa za kijinga huyu mvuta bangi Lema, hana nguvu hizo za kinabii.
JPM hakuwahi kupanda ndege na kuvuka nje ya afrika kwa sababu moyo wake ulikuwa ni mbovu. Bahati mbaya kazi ya urais ina presha nyingi na huleta mawazo ya kila aina hivyo kufa ni rahisi.
