Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
HakikaLema anaongea UKWELI MCHUNGU.....huwezi kula sadaka ukakaa kimyaa linapokuja jambo Muhimu anayekuletea sadaka Katekwa au kauwawa uka kaa kimyaa....Kunasiku wanaokuletea sadaka watakatwa MIKONO.....utakula wapi?
Eeeeh.kupewa konyagi na mwamba kukuona joy mukya ni matusi?Nguzo kuu ya masikini ni Uchawi na matusi
Endelea tuone utaishia wapiEeeeh.kupewa konyagi na mwamba kukuona joy mukya ni matusi?
Pole sana.
Ntaishia kyelaEndelea tuone utaishia wapi
Kyela haipokei wasio na ubongoNtaishia kyela
Ntakuja mikocheni kumuomba makamo anigawie za AbdulKyela haipokei wasio na ubongo
Hivi unafanyaje kupata unabii?Nabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie.
Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu, imekuja baada ya Mtukufu Jaji kupiga danadana ya Ulimi kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Soka na Wenzake
Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Hivi ni kwanini wengi wanaotekwa na kupotezwa ni raia wa vyama vya siasa pinzani?
Unabii ni karama kutoka kwa Mungu MwenyeweHivi unafanyaje kupata unabii?
Yaani sifa za kuwa Nabii zikoje ati!
Na nani huyo anayewapa watu unabii/Utume!?
Hakika [emoji7][emoji1787]Kyela haipokei wasio na ubongo
Pumba tupu.Hata Jiwe alionywa kwanza, kwamba akiendelea atakufa na akafa kweli
Huwa si wezi wa magari?Kwani manabii wakoje?
Je hakuonywa na Je baada ya kukaidi hakufa?Pumba tupu.
JPM olikuwa mgonjwa wa moyo tangu miaka hiyo ya 80, kabla hata hajaenda masomoni Uingereza.Je hakuonywa na Je baada ya kukaidi hakufa?
So Unabii ni kitu mtu yeyote anaweza akajitangazia tu au kikundi flani cha watu kinaweza kumpa unabii mtu wanayemtaka. Ila bado sijajua vigezo vya kumpachika mtu unabii/utumeUnabii ni karama kutoka kwa Mungu Mwenyewe
JPM olikuwa mgonjwa wa moyo tangu miaka hiyo ya 80, kabla hata hajaenda masomoni Uingereza.
Mbona hueleweki?!JPM hakuwahi kupanda ndege na kuvuka nje ya afrika kwa sababu moyo wake ulikuwa ni mbovu.
Jitangaze na weweSo Unabii ni kitu mtu yeyote anaweza akajitangazia tu au kikundi flani cha watu kinaweza kumpa unabii mtu wanayemtaka. Ila bado sijajua vigezo vya kumpachika mtu unabii/utume
Alinyang'anya nini? Kwa huo wivu wa kike naona utaacha kupita Arusha kwenda kusalimia Madunganabii mnyang'anyi alie okoka ana hadaa wananchi kwa ramli 🐒