Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Endelea kupiga porojoJPM olikuwa mgonjwa wa moyo tangu miaka hiyo ya 80, kabla hata hajaenda masomoni Uingereza.
Kifo chake kilipangwa na Mungu, msimpe sifa za kijinga huyu mvuta bangi Lema, hana nguvu hizo za kinabii.
JPM hakuwahi kupanda ndege na kuvuka nje ya afrika kwa sababu moyo wake ulikuwa ni mbovu. Bahati mbaya kazi ya urais ina presha nyingi na huleta mawazo ya kila aina hivyo kufa ni rahisi.
Alikufa au hakufa.?? Kwani kama una ugonjwa wa moyo lazima ufe?!Mbona hajamtabiria Mama kama alivyomtabiria Magufuli kuwa atakufa.
Eti alijifanya kuambiwa na Mungu JPM atakufa wakati alikuwa amedokezwa na watu JPM ana tatizo la ugonjwa wa moyo.
Siyo wezi wa magariKwani manabii wakoje?
Technically speakingNabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie.
Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu, imekuja baada ya Mtukufu Jaji kupiga danadana ya Ulimi kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Soka na Wenzake
Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Hivi ni kwanini wengi wanaotekwa na kupotezwa ni raia wa vyama vya siasa pinzani?
Swali lako ni bovuTechnically speaking
Can you confirm mtu katekwa just by his or her disappearance?
malori ya watu πAlinyang'anya nini? Kwa huo wivu wa kike naona utaacha kupita Arusha kwenda kusalimia Madunga
Hapana Nabii ni Kiboko ya WachawiKwahiyo lema ndo nabii?!!! Hivi hili taifa tuko serious kweli?!!!!!!!!
Baada ya kutoka huko hajarudi tena. Alikuwa mgonjwa.Mbona hueleweki?!
Huko UK uliposema wewe alienda kwa mguu?
Porojo unaleta wewe humu jukwaani.Endelea kupiga porojo
ππππHapana Nabii ni Kiboko ya Wachawi
Malori yq akina nani peleka ushahidi polisi embu maana wana usongo na cdm kwanza by the way alitaka lisu afe alitangulia yeye jehanammalori ya watu π
ushahidi anao mnyang"anyi mwenyewe nabii anayetamani nafasi ya yesuMalori yq akina nani peleka ushahidi polisi embu maana wana usongo na cdm kwanza by the way alitaka lisu afe alitangulia yeye jehanam
ushahidi anao mnyang"anyi mwenyewe nabii anayetamani nafasi ya yesuo
Hayo ni majungu na fitna kwa Nabii lema mtumishi wa Mungu na wazandiki wote mnaomsemea uongo mtatangulia jehanam kama mwendazake/mwemdakuzimu
Haha π π€£ π π π lori linanyang'anywa vipi ndio maana naamini sisiemu mmejaa misukulerelax tu ukweli ndivyo ulivyo gentleman, mihemko haisaidii hata kidogo wala haifuti unyang"anyi wa malori kwa huyo muungwana anajiita nabii kumbe mnyang'anyi anaetamani kumpindua yesu ili yeye akamate kiti π
Mnashabikia na kufurahia maisha na nafsi za watanzania wasio na hatia kupotea na kudhulumiwa. Watu ajabu sana.nabii mnyang'anyi alie okoka ana hadaa wananchi kwa ramli π
imani potofu na ushirikina wako vikae nawe pekeyako kwa amani,Mnashabikia na kufurahia maisha na nafsi za watanzania wasio na hatia kupotea na kudhulumiwa. Watu ajabu sana.
mbinu za unyang'anyi anazijua yeye mwenywe huyo nabii uchwara wa arusha,Haha π π€£ π π π lori linanyang'anywa vipi ndio maana naamini sisiemu mmejaa misukule
Nyie ndio hawa hawa mkuu wa wilaya longido nnaoshiriki mambo ya porini sio?mbinu za unyang'anyi anazijua yeye mwenywe huyo nabii uchwara wa arusha,
sasa sijui alikua anatumia jina la shetani kuvizia kunyang'anya na kupora malori ya watu ama laa ,
ni Muhimu akaulizwa yeye mwenywe π