Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbunge wa milele wa jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA leo amezindua rasmi kampeni zake za kuomba ubunge kwa mara nyingine tena na kusababisha mafuriko makubwa ya wananchi kiasi cha kusababisha tetemeko .
Hali ilikuwa kama hivi mnavyoona.
Kuna haja sasa ya mikutano ya watu maarufu sana kama huyu Lema kuwa na Viingilio ili kuepusha mauaji, hakuna maigizo wala matamasha ya muziki lakini hali ndio hii!
Hali ilikuwa kama hivi mnavyoona.
Kuna haja sasa ya mikutano ya watu maarufu sana kama huyu Lema kuwa na Viingilio ili kuepusha mauaji, hakuna maigizo wala matamasha ya muziki lakini hali ndio hii!