Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano.

Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Vipi Tunduma na Singida?
 
Watu wa Chuga bana na hii baridi hata kuoga inaonesha shida sana na migororo yao na Masweta
 
Hana chake safari hii, wakazi wa Arusha wajiandae kuibiwa magari sasa
 
Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..

Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Na yale ya rufaa tukiashinda je?
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…