OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Simkubali Samia,lakini napenda unavyompigania bila sababu, japo hujafikia level ya uchawaLema ni wa kupuuzwa, huwezi kumfananisha shetani na mama Samia, mama ni far better kuliko yule Mrundi.
Lema hawezi kurudi sasa hivi kwa sababu hana cha kufanya ana madeni makubwa ambayo hayaliipiki , kurudia ile kazi yake ya zamani aliyokuwa anatuhumiwa hawezi kwa mazingira ya sasa; watoto wake wanasoma bure na yeye analipwa allowance kila mwezi ambayo ni kubwa na inamuwezesha kuishi vizuri zaidi.siku hizi ukitaka kurudi nyumbani inabidi umpigie mstaafu?
Kazi yake huyo jamaa ni siasa na siasa alisemaga Mwalimu mahala pake ni mabarabarani na majukwaani !! Muda bado haujafika nadhani !!Hana nia ya kurudia huyo. Anaona akirudi na matunzo kwishney.
Panatengenezwa uhalali wa kutokurudi ili aendelee kupetiwa petiwa na mabeberu yeye na familia yake.
Za uso? !!walikuwa hawamfahamu vizuri Hangaya ngoja awape za mfulilizo a.k.a combination
Mwana falsafa wa Uingereza alisemaga ukitaka kuwa na furaha ya kudumu maishani usiweke mategemeo yako sana kwa mtu mwingine !!Siwaelewi watanzania wenzangu
KUna siku niliona baiskeli ya mkodishaji mmoja imeandikwa "...kila asubuhi mpya heri ya jana, siku kdhaa baadaye nikaona nyingine ya mkodishaji huyohuyo imeandikwa "...every new morning is better than yesterday" nilihisi alilenga kutafsiri ile statement ya kiswahili iliyopo kwenye baiskeli nyingine
- Wakati wa wakoloni walisema bora utawala wa Machifu
- Wakati wa Mwl. J. K. Nyerere wakasema bora ukoloni
- Wakati wa Mzee Mwinyi walisema bora Mwl. J. K. Nyerere
- Wakati wa Mzee Mkapa walimsifu sana Mzee Mwinyi
- Wakati wa Kikwete walimsifu sana Mzee Mkapa
- Wakati wa Magufuli walimponda na kumkumbuka Kikwete
- Kaja Samia sasa wanamkumbuka Magufuli
Hapa umepuyanga lema'...nilifurahi mno siku alipoapishwa Samia kuwa Rais na niliamini Nchi ilipata mwarobaini wa yote mabaya yaliyo pata kufanywa na mtangulizi wake. Na hali ile ilifanya nimpigie simu Mstaafu mmoja na kumweleza ninataka kurudi nyumbani.'
'....lakini kwa yanayoendelea sasa ndani ya Utawala wa Samia ni ya hovyo kuzidi hata ya Magufuli na hiyo inaleta maana ya Utawala wa Magufuli ni bora kuliko wa Samia jambo ambalo halikutarajiwa kabisa!'
Godbless Lema.
Kitendo Cha chadema kushangilia kifo Cha magufuli niliwachukia Hadi HV sasDah hakika Lema ni kiumbe siyo binaadam. Huyu si ndiye yule aliyeleta msemo wa Mama anaupiga mwingi??????? Atulie kabisa asituchanganye. Sisi watanzania tunasema Rais wa sasa ni Samia na tunampenda mno
Sure yaani ktk kitu ambacho hawa kikundi cha wahuni waliharibu ni kufanya sherehe ya kifo cha Dkt Magufuli.Kitendo Cha chadema kushangilia kifo Cha magufuli niliwachukia Hadi HV sas
Lema anyamaze tu kwa kweli acha apokee ukuni wake huko Canada
Umepaniki?Kwa lipi na lipi mfanano wao?
Naanza vipi kupaniki?Kwani nimeshinda na njaa?Umepaniki?
Na mimi nataka kwenda Dar sijui nimpigie mstaafu gani????siku hizi ukitaka kurudi nyumbani inabidi umpigie mstaafu?
Hii ni mada ya kutaka attention tu. Huwezi kumfaninisha yule Jahili, muuaji na huyu mama mpenda amani, mcha Mungu na mkweli."Nilifurahi mno siku alipoapishwa Samia kuwa Rais na niliamini nchi ilipata mwarobaini wa yote mabaya yaliyopata kufanywa na mtangulizi wake. Na hali ile ilifanya nimpigie simu mstaafu mmoja na kumweleza ninataka kurudi nyumbani."
"Lakini kwa yanayoendelea sasa ndani ya utawala wa Samia ni ya hovyo kuzidi hata ya Magufuli na hiyo inaleta maana ya utawala wa Magufuli ni bora kuliko wa Samia jambo ambalo halikutarajiwa kabisa!"
Godbless Lema.