Na wewe vipi unalipoti lini?Heri yake amekimbia huu utawala dhalimu. Namshauri Mbowe, Heche, Wanje, Mdee, Bulaya, Sugu, Mwakajoka, Matiko, Catherine na Zito nao wale kona fasta. Haiwezekana u
Kila siku aambiwe aripoti police bila kuwa na kosa lolote
Jifunze kwanza kiswahili sanifu ndipo uninukuuNa wewe vipi unalipoti lini?
Wewe masikini wa Kambi ya Fisi unakunywa mataputapu kwa mama kichwa mbaya na kuokota mateja wa Shaurimoyo maisha yako ni kama kawaAende sisi hapa Arusha maisha ni kama kawa!
Hizo fedha za hicho kisima katoa wapi maana bado sio mbunge hajaapishwa au wanaccm wenzangu kuna mfuko mwingine tunautumia?Kama ni hiyo video imekupa jazba kiasi hicho basi Shetani mkuu ni wewe usiyetaka maendeleo ya watu wala amani, unaetafuta chokochoko kila kuchapo
Wewe unajua nini?Hujui kitu wewe
Achana naye huyo KIMA mkuu,Hujui kitu wewe
stupid commentLema aache cheap politics,arudi nyumbani kumenoga. Kushindwa uchaguzi Sio kushindwa maisha. After all umri wake unaruhusu kurusha karata tena na tena na tena kwenye siasa. Arudi haki aitafute akiwa nyumbani