Pre GE2025 Godbless Lema kwa heshima aliyojijengea kwenye Taifa hili hawezi kwenda CCM ila haridhishwi na Uongozi wa kaka yake Freeman Mbowe

Pre GE2025 Godbless Lema kwa heshima aliyojijengea kwenye Taifa hili hawezi kwenda CCM ila haridhishwi na Uongozi wa kaka yake Freeman Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Patriot missile

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2024
Posts
280
Reaction score
423
Lema anatofauti za wazi kati yake na Katibu wake wa Kanda za Kichadema ya Kaskazini Bw AMANI Golugwa akimtuhumu kuwa ni fisadi mkubwa ndani ya CHADEMA anayekingiwa kifua na Freeman Mbowe.

Amani ambae ni swaiba mkubwa wa Freeman Mbowe wa muda mrefu anatajwa kumpigia kampeni za kuchaguliwa tena rafiki yake huyo aliyedumu madarakani kwa zaidi ya Miaka thelathini ( 30 ).

Godbless Lema kama ilivyo kwa Lissu, Heche na Mnyika hawataki kusikia Freeman Mbowe akirejea madarakani kwani wanaamini sababu ya watu kuuwawa ndani ya chama, kutekwa ndani ya chama, wagombea kukatwa ni matokeo ya uongozi wake dhaifu unaojificha kwenye kichaka cha maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mathematically, Amani Golugwa na Freeman Mbowe hawana cha kupoteza ukizingatia Amani ataendelea kutafuna ruzuku yoyote itakayomfikia na Mbowe atarejeshwa Bungeni kwa namna yoyote iwavyo na hapa ndipo shida inapoanzia.

Kama Freeman Mbowe atarejea madarakani CHADEMA tutegemee Lemma, Lissu, Mnyika na Heche kuiaga CHADEMA na huenda wakamfuata Msigwa CCM au kuhamia kwenye chama kingine cha Upinzani.

Soma hii pia Kuelekea 2025 - Vigogo wa CHADEMA Arusha wasema tusishangae Lema akimfata Msigwa, wadai Lema hufanya vikao vya siri na Gambo, Makonda na Msigwa
 
Hizi ramli chonganishi dhidi ya ayattolah Mbowe zinachosha! Kila siku mnarukaruka na kukanyagana lakini yeye kimyaa anaendelea na uenyekiti wake.
Kama mmeshiñdwa kumfurusha kaeni kimya maana hamna jipya.
 
CHADEMA kusuka au kunyoa wakubali kuwapoteza Lissu, Mnyika, Heche ,Lemma ili waendelee kusalia na Mbowe kama mwenyekiti wao wa kudumu
 
Hizi ramli chonganishi dhidi ya ayattolah Mbowe zinachosha! Kila siku mnarukaruka na kukanyagana lakini yeye kimyaa anaendelea na uenyekiti wake.
Kama mmeshiñdwa kumfurusha kaeni kimya maana hamna jipya.
Ila siku wakiondoka hao vigogo najua akili itakukaa sawa
 
Lema anatofauti za wazi kati yake na Katibu wake wa Kanda za Kichadema ya Kaskazini Bw AMANI Golugwa akimtuhumu kuwa ni fisadi mkubwa ndani ya CHADEMA anayekingiwa kifua na Freeman Mbowe.

Amani ambae ni swaiba mkubwa wa Freeman Mbowe wa muda mrefu anatajwa kumpigia kampeni za kuchaguliwa tena rafiki yake huyo aliyedumu madarakani kwa zaidi ya Miaka thelathini ( 30 ).

Godbless Lema kama ilivyo kwa Lissu, Heche na Mnyika hawataki kusikia Freeman Mbowe akirejea madarakani kwani wanaamini sababu ya watu kuuwawa ndani ya chama, kutekwa ndani ya chama, wagombea kukatwa ni matokeo ya uongozi wake dhaifu unaojificha kwenye kichaka cha maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mathematically, Amani Golugwa na Freeman Mbowe hawana cha kupoteza ukizingatia Amani ataendelea kutafuna ruzuku yoyote itakayomfikia na Mbowe atarejeshwa Bungeni kwa namna yoyote iwavyo na hapa ndipo shida inapoanzia.

Kama Freeman Mbowe atarejea madarakani CHADEMA tutegemee Lemma, Lissu, Mnyika na Heche kuiaga CHADEMA na huenda wakamfuata Msigwa CCM au kuhamia kwenye chama kingine cha Upinzani.

Soma hii pia Kuelekea 2025 - Vigogo wa CHADEMA Arusha wasema tusishangae Lema akimfata Msigwa, wadai Lema hufanya vikao vya siri na Gambo, Makonda na Msigwa
kwani ile hotuba mbovu zaidi ya Lema, ya fedheha, kejeli, dhihaka, majivuno na vitisho baada ya uchaguzi uliosimamiwa na Kigaila pale Arusha, alikua anaetegemea nini kama sio kuwaibua wapinzani wake wajitokeze mundu khu mundu?

Ni dhahiri amechuja,
Na kwakweli atapuuzwa na ameamua kujikaanga na kujipalia makaa. Amejikosea heshima ndani ya chadema Arusha, amejishushia hadhi na kujidhoofisha mwenyewa..

Kiufupi,
huu ndio mwanzo wa mwisho wa nguvu na ushawishi wa za siasa za Lema ndani ya chadema Arusha.🐒
 
kwani ile hotuba mbovu zaidi ya Lema, ya fedheha, kejeli, dhihaka, majivuno na vitisho baada ya uchaguzi uliosimamiwa na Kigaila pale Arusha, alikua anaetegemea nini kama sio kuwaibua wapinzani wake wajitokeze mundu khu mundu?

Ni dhahiri amechuja,
Na kwakweli atapuuzwa na ameamua kujikaanga na kujipalia makaa. Amejikosea heshima ndani ya chadema Arusha, amejishushia hadhi na kujidhoofisha mwenyewa..

Kiufupi,
huu ndio mwanzo wa mwisho wa nguvu na ushawishi wa za siasa za Lema ndani ya chadema Arusha.🐒
Wewe Unaongea kama nani?
 
Kwa akili za lema hawezi pokelewa CCM vile vile lema na mbowe ni kama maji na samaki asikwambie mtu yeyote!
 
CCM wanatumia kila aina ya mbinu kuibomoa CHADEMA kabla ya 2025 maana wanajua hiyo ndio salama yao.. Lakini wasichojua CHADEMA ni mpango wa Mungu baba aliye Hai.. Watashindana lakini hawatashinda
Pole sana ntani
 
Kwa akili za lema hawezi pokelewa CCM vile vile lema na mbowe ni kama maji na samaki asikwambie mtu yeyote!
Mbowe na Lema wanatuletea upuuzi hapa kuwa haweelewani ili kujaribu tu kuondoa uchagga uliojisimika ndani ya hiki chama
 
Kamanda Erythrocyte kuna ukweli wowote ? Tunaoumia ni sisi mashabiki wa Demokrasia
1000012671.jpg
 
Lema anatofauti za wazi kati yake na Katibu wake wa Kanda za Kichadema ya Kaskazini Bw AMANI Golugwa akimtuhumu kuwa ni fisadi mkubwa ndani ya CHADEMA anayekingiwa kifua na Freeman Mbowe.

Amani ambae ni swaiba mkubwa wa Freeman Mbowe wa muda mrefu anatajwa kumpigia kampeni za kuchaguliwa tena rafiki yake huyo aliyedumu madarakani kwa zaidi ya Miaka thelathini ( 30 ).

Godbless Lema kama ilivyo kwa Lissu, Heche na Mnyika hawataki kusikia Freeman Mbowe akirejea madarakani kwani wanaamini sababu ya watu kuuwawa ndani ya chama, kutekwa ndani ya chama, wagombea kukatwa ni matokeo ya uongozi wake dhaifu unaojificha kwenye kichaka cha maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mathematically, Amani Golugwa na Freeman Mbowe hawana cha kupoteza ukizingatia Amani ataendelea kutafuna ruzuku yoyote itakayomfikia na Mbowe atarejeshwa Bungeni kwa namna yoyote iwavyo na hapa ndipo shida inapoanzia.

Kama Freeman Mbowe atarejea madarakani CHADEMA tutegemee Lemma, Lissu, Mnyika na Heche kuiaga CHADEMA na huenda wakamfuata Msigwa CCM au kuhamia kwenye chama kingine cha Upinzani.

Soma hii pia Kuelekea 2025 - Vigogo wa CHADEMA Arusha wasema tusishangae Lema akimfata Msigwa, wadai Lema hufanya vikao vya siri na Gambo, Makonda na Msigwa
"Namuagiza waziri mkuu hili nalo mkaliangalie"
 
CCM wanatumia kila aina ya mbinu kuibomoa CHADEMA kabla ya 2025 maana wanajua hiyo ndio salama yao.. Lakini wasichojua CHADEMA ni mpango wa Mungu baba aliye Hai.. Watashindana lakini hawatashinda
Lakini Ukweli mchungu unabaki kuwa Freeman Mbowe kwa sasa ni kweli kabisa kwamba amekuwa tatizo kwa ustawi Bora wa Chama hicho cha Chadema. Ukweli LAZIMA usemwe.

Mimi binafsi ni mtu mwenye fikra huru na mitazamo huru ambaye kwa hakika napenda kuona mabadiliko ya kweli na demokrasia iliyotamalaki katika jamii. Aidha, Mimi binafsi sipo CCM na wala sizikubali kabisa Sera zake, na pia sipo huko Chadema, lakini napenda kuona kwamba Tanzania linakuwa na Vyama vya Upinzani vilivyo imara ili ku-balance power ya mamlaka katika nchi hii.

Taifa lolote lile ambalo halina Watu imara wanaokosoa utawala kwa nia njema ni Taifa lililokufa. Kwenye Taifa lolote lile lililo hai, imara na madhuhuti, ni LAZIMA uwepo Utawala wa nchi lakini pia LAZIMA wawepo Wakosoaji wa Utawala wa nchi ili kufanikisha Hoja ya Msingi kabisa ya "Checks and balances."

Hata Rais wa zamani wa Marekani Bw. Barrack Obama aliwahi kusema kwamba "Maendeleo ya kweli ni matokeo yatokanayo na changamoto za ukosoaji, wala siyo wingi wa Wafuasi."

Aidha, Inavyoonekana ni kweli kwamba Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.

Mbowe amekuwa ni mtu asiyeaminika tena kwa sasa ndani ya Chama Chao hicho, watu wengi kwanza wanamchukulia kama ni Mamluki wa Chama tawala ambaye amejipachika kwenye Vyama vya upinzani kwa 'kazi maalumu ya kuvuruga vyama vya upinzani' ili kukinufaisha chama tawala.

'Engine' ya treni ikiharibika mabehewa yote ya treni nayo huyumba na kusimama!
 
Back
Top Bottom