Pre GE2025 Godbless Lema kwa heshima aliyojijengea kwenye Taifa hili hawezi kwenda CCM ila haridhishwi na Uongozi wa kaka yake Freeman Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

CCM wanatumia kila aina ya mbinu kuibomoa CHADEMA kabla ya 2025 maana wanajua hiyo ndio salama yao.. Lakini wasichojua CHADEMA ni mpango wa Mungu baba aliye Hai.. Watashindana lakini hawatashinda
Na zito ndio injinia mkuu?! Nimeumia sana kupata habari hii.
 
Leo tarehe 31 Jan, 2025, Lissu ni Mwenyekiti mpya CHADEMA, Mnyika, Katibu Mkuu, Amani Golugwa, N/Katibu Mkuu bara, Heche, Makamu, na Lema , mjumbe wa kamati kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…