Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angechanganya upinzani Ingekuwa poa Sana tupate msetoKazi ya chama Cha upinzani ni kuikosoa na kuishauri serikali
Automatic huyo VP wa CCM anaenda kuunda serikali na mama kaongea tufute machozi na tuzike tofauti zetu
Bado kuna vichwa vyenye kinyesi kama wewe mnataka tuendelee na maisha yale ya kubaguana
Napenda tuwe wamojaAngechanganya upinzani Ingekuwa poa Sana tupate mseto
Chukua dole gumba lako lifutike kwenye 0 yako tanua hiyo barabara ili badae tukubamize.Kazi ya chama Cha upinzani ni kuikosoa na kuishauri serikali
Automatic huyo VP wa CCM anaenda kuunda serikali na mama kaongea tufute machozi na tuzike tofauti zetu
Bado kuna vichwa vyenye kinyesi kama wewe mnataka tuendelee na maisha yale ya kubaguana
Rc wa mbeya mpaka Leo najiuliza yule jamaa ilikuwaje akapewa cheo kikubwa kiasi kile? Mwenye CV yake naiomba wakuu
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Unabii unatimiaRC Chalamila, Paul Makonda, Lazaro Mambosasa, DC Ole Sabaya hakika watakufa vifo vibaya. Kama kuna ndugu zao wanasoma JF waaambie wakatubu.
Kama hujui hata tofauti ya vyama na serikali, na kwamba kazi ya wapinzani ni kuiongoza serikali kwa kuikosoa, na kwamba hakuna mtu ametaja ccm hapa, ninapata mashaka makubwa juu ya mambo mengi.Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
Moja kati ya mawazo ya kimasikini sana hi; matajiri hua hawajiulizi "who said" badala yake hua wanajiuliza, "what has been said" Masikini na wajinga wengi hujikita kwenye WHO badala ya WHAT!?Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao