Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Mmoja ya hawa anafaa kuwa VP
1.Asha rose Migiro
2.Ndalichako
3.Mtaka
4.Aggry Mwanry atatusaulisha magumu kwa kutuchekesha
 
Kazi ya chama Cha upinzani ni kuikosoa na kuishauri serikali
Automatic huyo VP wa CCM anaenda kuunda serikali na mama kaongea tufute machozi na tuzike tofauti zetu
Bado kuna vichwa vyenye kinyesi kama wewe mnataka tuendelee na maisha yale ya kubaguana
Angechanganya upinzani Ingekuwa poa Sana tupate mseto
 
majaliwa ndio makamu wa rais tanzania mtake msitake liwe na liwalo
 
Kazi ya chama Cha upinzani ni kuikosoa na kuishauri serikali
Automatic huyo VP wa CCM anaenda kuunda serikali na mama kaongea tufute machozi na tuzike tofauti zetu
Bado kuna vichwa vyenye kinyesi kama wewe mnataka tuendelee na maisha yale ya kubaguana
Chukua dole gumba lako lifutike kwenye 0 yako tanua hiyo barabara ili badae tukubamize.
ubongo wako hauna oxygen.........
 
Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
Kama hujui hata tofauti ya vyama na serikali, na kwamba kazi ya wapinzani ni kuiongoza serikali kwa kuikosoa, na kwamba hakuna mtu ametaja ccm hapa, ninapata mashaka makubwa juu ya mambo mengi.
 
Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
Moja kati ya mawazo ya kimasikini sana hi; matajiri hua hawajiulizi "who said" badala yake hua wanajiuliza, "what has been said" Masikini na wajinga wengi hujikita kwenye WHO badala ya WHAT!?
 
Makamu wa raisi kuwa raisi pia ni hatari kwa raisi aliyeko madarakani. Inaweza sababisha tamaa kwa marafiki wa makamu raisi, au kwa mfumo uliozingatiwa katika kumuweka makamu wa raisi, kufikiri vibaya hata kutoa uhai wa raisi aliyeko madarakani.
Nàmaanisha kwamba, kifo cha raisi kama alivyotamka Lema kimefungua ufahamu kwa wapenda madaraka kwamba kumbe raisi anaweza kufa na makamu akawa raisi! Na marafiki wa karibu na makamu wa raisi wakiwa peke yao wanaweza pia kuita mheshimiwa raisi, na kuanza kumtamanisha hicho cheo cha huu.
MWENYEZI MUNGU ATUEPUSHIE MBALI HAYA YASITOKEE.
 
Back
Top Bottom