LGE2024 Godbless Lema: Makonda ni mfungwa mtarajiwa, ni lazima ataenda jela. Hawezi kunifanya chochote, hawezi hata kuua panya nyumbani kwangu!

LGE2024 Godbless Lema: Makonda ni mfungwa mtarajiwa, ni lazima ataenda jela. Hawezi kunifanya chochote, hawezi hata kuua panya nyumbani kwangu!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kama mnakumbuka Makonda kujitokeza na kujisafisha kwa kusema kuwa hakuhusika katia kumpiga risasi Tundu Lissu, Godbless Lema leo amejibu mapigo.

Siku ya leo, Lema amesema kuwa ipo siku Makonda ataenda jela kwa kuhusika kumpiga risasi Tundu Lissu na kuongeza kuwa Makonda alijibu kwa jeuri sana pindi alivyoulizwa swali.

Soma pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Lema aliongeza kuwa, kama Makonda anamuwinda, yeye hamuwezi na kwamba kama Makonda anajaribu kumuwinda basi ni bora amuue tu kwani akimkosa ni lazima atamwajibisha na ndio utakuwa mwisho wa maisha yake

=======================================================

Ni bora tu, Makonda angejimazia asingeongelea hiyo ishu ya Lissu.

Sasa hivi ni kama wapinzani ndo wamevalia njuga hili suala na wameamua kumvua nguo kabisa.

CHADEMA will drag Makonda to the mud!

 
Hehehe hawa jamaa wameshaingia kwenye 18.......mbuzi kaelekea kibla
 
Kimenukaaaa
e
Wakuu,

Kama mnakumbuka Makonda kujitokeza na kujisafisha kwa kusema kuwa hakuhusika katia kumpiga risasi Tundu Lissu, Godbless Lema leo amejibu mapigo.

Siku ya leo, Lema amesema kuwa ipo siku Makonda ataenda jela kwa kuhusika kumpiga risasi Tundu Lissu na kuongeza kuwa Makonda alijibu kwa jeuri sana pindi alivyoulizwa swali.

Soma pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Lema aliongeza kuwa, kama Makonda anamuwinda, yeye hamuwezi na kwamba kama Makonda anajaribu kumuwinda basi ni bora amuue tu kwani akimkosa ni lazima atamwajibisha na ndio utakuwa mwisho wa maisha yake

=======================================================

Ni bora tu, Makonda angejimazia asingeongelea hiyo ishu ya Lissu. Sasa hivi ni kama wapinzani ndo wamevalia njuga hili suala na wameamua kumvua nguo kabisa.

View attachment 3158073
 
Wakuu,

Kama mnakumbuka Makonda kujitokeza na kujisafisha kwa kusema kuwa hakuhusika katia kumpiga risasi Tundu Lissu, Godbless Lema leo amejibu mapigo.

Siku ya leo, Lema amesema kuwa ipo siku Makonda ataenda jela kwa kuhusika kumpiga risasi Tundu Lissu na kuongeza kuwa Makonda alijibu kwa jeuri sana pindi alivyoulizwa swali.

Soma pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Lema aliongeza kuwa, kama Makonda anamuwinda, yeye hamuwezi na kwamba kama Makonda anajaribu kumuwinda basi ni bora amuue tu kwani akimkosa ni lazima atamwajibisha na ndio utakuwa mwisho wa maisha yake

=======================================================

Ni bora tu, Makonda angejimazia asingeongelea hiyo ishu ya Lissu.

Sasa hivi ni kama wapinzani ndo wamevalia njuga hili suala na wameamua kumvua nguo kabisa.

CHADEMA will drag Makonda to the mud!

View attachment 3158073
Kimenuka!
 
Lema nabii wa miaka hii mtu ninaye mkubali sana sana sana mnooooooo lema una jeshi kubwa mno sio arusha tu hata huku mikoani na hata sisi diaspora nakumbuka ulivyokuja canada.

Mkuu hakuna namna unaweza kubadilisha Avi yako?

Super scary kama ahadi za CCM!
 
Makonda atakufa siku si nyingi (hafiki 2025), ndiyo maana ameanza kutubu hadharani kwa kujaribu kukana kosa la kumshambulia Lisu.
 
Wakuu,

Kama mnakumbuka Makonda kujitokeza na kujisafisha kwa kusema kuwa hakuhusika katia kumpiga risasi Tundu Lissu, Godbless Lema leo amejibu mapigo.

Siku ya leo, Lema amesema kuwa ipo siku Makonda ataenda jela kwa kuhusika kumpiga risasi Tundu Lissu na kuongeza kuwa Makonda alijibu kwa jeuri sana pindi alivyoulizwa swali.

Soma pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Lema aliongeza kuwa, kama Makonda anamuwinda, yeye hamuwezi na kwamba kama Makonda anajaribu kumuwinda basi ni bora amuue tu kwani akimkosa ni lazima atamwajibisha na ndio utakuwa mwisho wa maisha yake

=======================================================

Ni bora tu, Makonda angejimazia asingeongelea hiyo ishu ya Lissu.

Sasa hivi ni kama wapinzani ndo wamevalia njuga hili suala na wameamua kumvua nguo kabisa.

CHADEMA will drag Makonda to the mud!

View attachment 3158073
“Hata kama mama yake akiwa Rais” au ni mimi tu sijaelewa?
 
Huyu ndio alikuwa Canada juzi? Anyway, labda kwa sababu ya mazungumzo ya kanisani kwa Geodevii
 
Wakuu,

Kama mnakumbuka Makonda kujitokeza na kujisafisha kwa kusema kuwa hakuhusika katia kumpiga risasi Tundu Lissu, Godbless Lema leo amejibu mapigo.

Siku ya leo, Lema amesema kuwa ipo siku Makonda ataenda jela kwa kuhusika kumpiga risasi Tundu Lissu na kuongeza kuwa Makonda alijibu kwa jeuri sana pindi alivyoulizwa swali.

Soma pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Lema aliongeza kuwa, kama Makonda anamuwinda, yeye hamuwezi na kwamba kama Makonda anajaribu kumuwinda basi ni bora amuue tu kwani akimkosa ni lazima atamwajibisha na ndio utakuwa mwisho wa maisha yake

=======================================================

Ni bora tu, Makonda angejimazia asingeongelea hiyo ishu ya Lissu.

Sasa hivi ni kama wapinzani ndo wamevalia njuga hili suala na wameamua kumvua nguo kabisa.

CHADEMA will drag Makonda to the mud!

View attachment 3158073
Lengo la makonda limetimia,lengo lake kubwa lilikuwa afanye alichofanya ili attention igeukie kwake watu waache kuhoji kambo ya msingi kama kuenguliwa kwa wagombea pamoja na makando kando mengi yanayoendelea sasa,so amefanikiwa .
 
Hii nchi siku CCM ikibwagwa Kuna watu watakimbia nchi

Makonda ni namba moja!!
 
Back
Top Bottom