Pre GE2025 Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

Pre GE2025 Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Fedha ya chama hicho Godbless Lema ameeleza kuwa mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali ambayo utamuwezesha mtu yeyuote kuchangia kwa kutumia mitandao ya simu na malipo ya kurudia rudia.

Soma Pia: CHADEMA wanazindua mkakati maalum wa kidigitali tone tone usiku huu, Februari 27, 2025

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Lema ameeleza kuwa kupitia tone tone mtu yeyote ataweza kutoa fedha kidogo aliyonayo na pale zitapounganishwa zitajaza na kufikisha kiasi ambacho kitakiwezesha chama kuweza kuendesha mikakati yake.

 
Mtanzania atakayetaka kuichangia CHADEMA atakuwa na matatizo makubwa sana kichwani mwake. Ni bora pesa hizo mtu unayejitambua uwapelekee yatima na wajane huko au watu wenye mahitaji maalumu .

Kwa sababu CHADEMA wamekuwa watu wa kuomba michango miaka na miaka lakini matokeo ya michango hiyo huwa ni giza totoro. Chama kinashindwa hata kulipia kodi ya ofisi huku mikoani au hata kujenga tu ofisi za chama.

Kwa sasa chama kinapokea Riziki ya takribani Million 107. Lakini kilipewa kwa mkupuo zaidi ga Billion 2.7 kama Ruzuku. Pesa zote haieleweki zimekwenda wapi na zimefanya shughuli gani. Ni aibu mpaka leo chama kimeshindwa kuanzisha hata Kituo cha redio au Tv . Matokeo yake tuliona akina lissu waking'ang'ania kwenye Tv za watu za Wasafi FM eti wanataka kufanyiwa mahojiano.

Chama hakina kitega uchumi cha aina yoyote ile .yaani hata biashara ya kuuza sindano tu nguo CHADEMA imeshindwa kubuni.

Sasa michango ndio muarobaini wa shida za CHADEMA? Ndio chanzo cha mapato? Ndio njia ya kukifanya chama kujitegemee? Ndio akili za viongozi wa CHADEMA zilipoishia hapo? Chama cha miaka zaidi ya 30 kinataka kujiendesha kwa michango? Hivi huu siyo udumavu wa akili kweli?
 
Mtapigwa sana kama LBL, DECI, JATU, KALYINDA, NK.....
 
Mtanzania atakayetaka kuichangia CHADEMA atakuwa na matatizo makubwa sana kichwani mwake. Ni bora pesa hizo mtu unayejitambua uwapelekee yatima na wajane huko au watu wenye mahitaji maalumu .

Kwa sababu CHADEMA wamekuwa watu wa kuomba michango miaka na miaka lakini matokeo ya michango hiyo huwa ni giza totoro. Chama kinashindwa hata kulipia kodi ya ofisi huku mikoani au hata kujenga tu ofisi za chama.

Kwa sasa chama kinapokea Riziki ya takribani Million 107. Lakini kilipewa kwa mkupuo zaidi ga Billion 2.7 kama Ruzuku. Pesa zote haieleweki zimekwenda wapi na zimefanya shughuli gani. Ni aibu mpaka leo chama kimeshindwa kuanzisha hata Kituo cha redio au Tv . Matokeo yake tuliona akina lissu waking'ang'ania kwenye Tv za watu za Wasafi FM eti wanataka kufanyiwa mahojiano.

Chama hakina kitega uchumi cha aina yoyote ile .yaani hata biashara ya kuuza sindano tu nguo CHADEMA imeshindwa kubuni.

Sasa michango ndio muarobaini wa shida za CHADEMA? Ndio chanzo cha mapato? Ndio njia ya kukifanya chama kujitegemee? Ndio akili za viongozi wa CHADEMA zilipoishia hapo? Chama cha miaka zaidi ya 30 kinataka kujiendesha kwa michango? Hivi huu siyo udumavu wa akili kweli?
Tulia wewe chawa watu wanaendesha chama kusomi na kisayansi, wewe kazibue vyoo vya lumumba upewe ujira wa ef7.
 
Kuitisha michango kila siku ndio Kisomi? Kwanini msije na mikakati ya kukifanya chama kujitegemea na kuwa na vyanzo vya mapato?
Chadema sio chama cha kibiashara ni chama cha siasa kinategemea mimi na wewe chawa kuunga mkono ili kisonge mbele ccm ilikwapua hizo rasilimali kutoka kwa wananchi ndio maana unasema kina vyanzo
 
Sisi Kama wanachama tunahoji tupewe majibu, nje ya hapo tutaona tunajaza mifuko kwenye saccos ya watu

Mfano sh 1000× watu 3,000,000 = 3,000,000,000(bilioni tatu)

Halafu badae unaambiwa hazijulikani zilipo wewe utatafsiri kitu gani hapo
WE changa mkuu uongozi wa ss sio magumashi
 
Chadema sio chama cha kibiashara ni chama cha siasa kinategemea mimi na wewe chawa kuunga mkono ili kisonge mbele ccm ilikwapua hizo rasilimali kutoka kwa wananchi ndio maana unasema kina vyanzo
Miaka yote ya kupokea mamilioni kwa mamilioni ya Ruzuku kimeshindwa vipi kujiimarisha kiuchumi kwa kuwa na vitega uchumi?
 
Mtanzania atakayetaka kuichangia CHADEMA atakuwa na matatizo makubwa sana kichwani mwake. Ni bora pesa hizo mtu unayejitambua uwapelekee yatima na wajane huko au watu wenye mahitaji maalumu .

Kwa sababu CHADEMA wamekuwa watu wa kuomba michango miaka na miaka lakini matokeo ya michango hiyo huwa ni giza totoro. Chama kinashindwa hata kulipia kodi ya ofisi huku mikoani au hata kujenga tu ofisi za chama.

Kwa sasa chama kinapokea Riziki ya takribani Million 107. Lakini kilipewa kwa mkupuo zaidi ga Billion 2.7 kama Ruzuku. Pesa zote haieleweki zimekwenda wapi na zimefanya shughuli gani. Ni aibu mpaka leo chama kimeshindwa kuanzisha hata Kituo cha redio au Tv . Matokeo yake tuliona akina lissu waking'ang'ania kwenye Tv za watu za Wasafi FM eti wanataka kufanyiwa mahojiano.

Chama hakina kitega uchumi cha aina yoyote ile .yaani hata biashara ya kuuza sindano tu nguo CHADEMA imeshindwa kubuni.

Sasa michango ndio muarobaini wa shida za CHADEMA? Ndio chanzo cha mapato? Ndio njia ya kukifanya chama kujitegemee? Ndio akili za viongozi wa CHADEMA zilipoishia hapo? Chama cha miaka zaidi ya 30 kinataka kujiendesha kwa michango? Hivi huu siyo udumavu wa akili kweli?

Chadema haina biashara hata ya sindano, ccm inauza nini?
 
Mtanzania atakayetaka kuichangia CHADEMA atakuwa na matatizo makubwa sana kichwani mwake. Ni bora pesa hizo mtu unayejitambua uwapelekee yatima na wajane huko au watu wenye mahitaji maalumu .

Kwa sababu CHADEMA wamekuwa watu wa kuomba michango miaka na miaka lakini matokeo ya michango hiyo huwa ni giza totoro. Chama kinashindwa hata kulipia kodi ya ofisi huku mikoani au hata kujenga tu ofisi za chama.

Kwa sasa chama kinapokea Riziki ya takribani Million 107. Lakini kilipewa kwa mkupuo zaidi ga Billion 2.7 kama Ruzuku. Pesa zote haieleweki zimekwenda wapi na zimefanya shughuli gani. Ni aibu mpaka leo chama kimeshindwa kuanzisha hata Kituo cha redio au Tv . Matokeo yake tuliona akina lissu waking'ang'ania kwenye Tv za watu za Wasafi FM eti wanataka kufanyiwa mahojiano.

Chama hakina kitega uchumi cha aina yoyote ile .yaani hata biashara ya kuuza sindano tu nguo CHADEMA imeshindwa kubuni.

Sasa michango ndio muarobaini wa shida za CHADEMA? Ndio chanzo cha mapato? Ndio njia ya kukifanya chama kujitegemee? Ndio akili za viongozi wa CHADEMA zilipoishia hapo? Chama cha miaka zaidi ya 30 kinataka kujiendesha kwa michango? Hivi huu siyo udumavu wa akili kweli?
Sasa wanawezaje kuputa ripoti safi ya mkaguzi mkuu huku wakiishinda CCM! Hebu tupe ufafanuzi.
 
Mtanzania atakayetaka kuichangia CHADEMA atakuwa na matatizo makubwa sana kichwani mwake. Ni bora pesa hizo mtu unayejitambua uwapelekee yatima na wajane huko au watu wenye mahitaji maalumu .

Kwa sababu CHADEMA wamekuwa watu wa kuomba michango miaka na miaka lakini matokeo ya michango hiyo huwa ni giza totoro. Chama kinashindwa hata kulipia kodi ya ofisi huku mikoani au hata kujenga tu ofisi za chama.

Kwa sasa chama kinapokea Riziki ya takribani Million 107. Lakini kilipewa kwa mkupuo zaidi ga Billion 2.7 kama Ruzuku. Pesa zote haieleweki zimekwenda wapi na zimefanya shughuli gani. Ni aibu mpaka leo chama kimeshindwa kuanzisha hata Kituo cha redio au Tv . Matokeo yake tuliona akina lissu waking'ang'ania kwenye Tv za watu za Wasafi FM eti wanataka kufanyiwa mahojiano.

Chama hakina kitega uchumi cha aina yoyote ile .yaani hata biashara ya kuuza sindano tu nguo CHADEMA imeshindwa kubuni.

Sasa michango ndio muarobaini wa shida za CHADEMA? Ndio chanzo cha mapato? Ndio njia ya kukifanya chama kujitegemee? Ndio akili za viongozi wa CHADEMA zilipoishia hapo? Chama cha miaka zaidi ya 30 kinataka kujiendesha kwa michango? Hivi huu siyo udumavu wa akili kweli?
Hivi umewahi kujiuliza kwanini kila mmoja humu anakuona wewe kama kituko? Ndiyo maana watu hawasomi mada zako kwa sababu wanakuona kituko
 
Sisi Kama wanachama tunahoji tupewe majibu, nje ya hapo tutaona tunajaza mifuko kwenye saccos ya watu

Mfano sh 1000× watu 3,000,000 = 3,000,000,000(bilioni tatu)

Halafu badae unaambiwa hazijulikani zilipo wewe utatafsiri kitu gani hapo
Uliyetoa 1,000 utajisikia umepoteza bio 3 😂😂😂
 
Back
Top Bottom