Mbowe ni mjumbe wa ile Halmashauri ya kule Dodoma iliyopitisha majina jana, kwa hio CDM kukngozwa na Mbowe ni sawa kinaongozwa na CCM hakuna upinzani halisi ni kusifu na kuabudu ndio maana Mzee akasema "sasa hivi hakuna wa kumpinga labda watokee wachawi lakini wachawi wote wameshakufa..." sasa usikae ukabiuliza mimi nani mchawi mimi mchawi simjui