Godbless Lema ndiye mwenyekiti ajaye wa CHADEMA

Godbless Lema ndiye mwenyekiti ajaye wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Ingekuwa naweza kuwashauri na kushaurika…ningewashauri Uenyekiti apewe Joseph Mbilinyi…Jamaa hana shule kubwa ila ana upeo mkubwa sana wa mambo na hata akizungumza utajua hilo

Pia ana ushawishi mkubwa sana ila najua hawezi kupewa Uenykiti kwa kuwa 'haeleweki eleweki' kwa wenye chama
 
Hiki ni chama cha watu wa moshi na arusha, aisee wakishika nchi hawa kila sekta itakaa wachaga. Yani naonaga tu vile wakipata chance wanapachikana wao
 
Kuna haja ya jf kuchunguza member wake , huyu Makupa sidhani kama ni mzima , fuatilieni maandishi yake
 
Nimekuwa nafuatailia siasa za hiki Chama takribani miaka ishirini iliyopita. Kama sikosei hiki chama nafasi ya Mwenyekiti imewahi kuwa na wenyeviti watatu ambao wawili kati yao ni mtu na Mkwe wake yaani Freeman Mbowe na Mzee Edwin Mtei.

Kutokana na kelele nyingi saana toka ndani ya chama kutaka awepo mwenyekiti mwingine asietokana na uridhi wa kindugu, Mwenyekiti ambaye kwa sasa yupo mahabusu amekuwa na mawasiliano ya karibu saana na baadhi ya viongozi wa kanda wa chama kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba mrithi wake anatokana na safu wa viongozi wa kanda waliopo. Msingi haswa wa kutaka viongozi wa kanda ni kutaka kuhakikisha ya kuwa mheshimiwa Lissu ambae ni Makamu Mwenyekiti hataweza kumrithi Mheshimiwa Mbowe kwenye uachaguzi ujao wa chama.

Wadadisi wa maswala ya uchaguzi wanaamini ya kwamba kwa viongozi wa Kanda waliopo kwa sasa, Mrithi halisi na ambae aataweza kuendeleza dhana ya chama (chgga kwanza) ni Mheshimiwa Godbless ambae amekuwa active saana kwenye mitandao ya kijamii kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba anaonekana na vijana wa chama kuwa ni jasiri na SHUPAVU hivyo anaweza kuwa mtu sahihi kumrithi kaka mheshimwa Mbowe ambae ni binadmu yake LEMA.

Nawasilisha wakuu
Elizabet ni ndugu yako?
 
Ukweli unaoujua, ndio utakaokuweka huru. Kwa sasa ardhi inahitaji uongozi, kuliko kitu chochote. Candidate yeyote atakayekuwa na sura ya utaifa na uzalendo, wananzengo wanampa. Maana kusema ukweli wamechoka. Sasa ushauri wangu kwa hawa makamanda ambao inaonekana wamekuwa katika ligi kwa miaka mingi, wanahitaji kujiimarisha ili wakidhi vigezo vinavyohitajika.

1. Wanahitaji kuondoka dhana ya jumuiya ya mahala ama utamaduni mmoja. Badala yake wachukue dhana ya Mwalimu Nyerere ya kuunganisha na kuwa na taifa moja lisilo na ubaguzi.

2. Wakubali na watambue kwamba matunda ya vita kama vile athari zake huwa ni kwa manufaa ama hasara ya taifa zima. Kwa msingi huo, wasijione kwamba wao wanastahiki keki kubwa zaidi ya uhuru kwa kuwa wamedhikika ama wamepambana mstari wa mbele, bali wajue uhuru wa kila eneo ni haki ya watu wote.

3. Ili kutimiza hayo, wathibitishe kwamba hawatakuwa watu wa visasi kama wataliban wa afghanistani ambao hatima yake ni kusababisha chuki, uchungu na vurugu zisizokoma.

4. Wahakikishe, ( hili ni la lazima), uongozi wa juu unagawanywa kwa watu mchanganyiko kktoka sehemu mbali mbali za nchi na tamaduni tofauti. Kuanzia ngazi ya juu, idara na kamatimbali mbali.

5. Waonyeshe uwezo na mwelekeo bora kuliko yaliyopo sasa.

Kwa kuendeleza mfumo wa kaskazini, bavicha, bawacha, taifa, sijui nini na nini kila mahala wakuu wa kaskazini, wengine wanatupiwa tupiwa tu kama mapambo, hapana. Hatufiki.
Kwa hiyo Zitto wa kigoma ndo ana sura ya utaifa? Kwani wachaga walikufanya kitu gani we dada mana nawajua wanabebeshaga mimba Sana halafu wanatelekeza
 
Bora atoke tu kaskazini mradi kama ni mtu shupavu. Siyo hawa waunga juhudi mkono.

Kilichofanywa na katibu Dr Mashinji, na aliyegombea uenyekiti mara ya mwisho , yule mbunge alierudishwa bungeni na Ndugai baada ya kujiuzulu. Bora mtu strong hata kama ni wa Ukerewe . Siyo waunga juhudi
Jamani nipo Mimi kutoka Ukerewe😝😝
 
Kwa hiyo Zitto wa kigoma ndo ana sura ya utaifa? Kwani wachaga walikufanya kitu gani we dada mana nawajua wanabebeshaga mimba Sana halafu wanatelekeza
Nani dada? Mbona unamawazo mafupi sana? Nani kasema habari ya zito? Ongeza ufahamu.
 
Nimekuwa nafuatailia siasa za hiki Chama takribani miaka ishirini iliyopita. Kama sikosei hiki chama nafasi ya Mwenyekiti imewahi kuwa na wenyeviti watatu ambao wawili kati yao ni mtu na Mkwe wake yaani Freeman Mbowe na Mzee Edwin Mtei.

Kutokana na kelele nyingi saana toka ndani ya chama kutaka awepo mwenyekiti mwingine asietokana na uridhi wa kindugu, Mwenyekiti ambaye kwa sasa yupo mahabusu amekuwa na mawasiliano ya karibu saana na baadhi ya viongozi wa kanda wa chama kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba mrithi wake anatokana na safu wa viongozi wa kanda waliopo. Msingi haswa wa kutaka viongozi wa kanda ni kutaka kuhakikisha ya kuwa mheshimiwa Lissu ambae ni Makamu Mwenyekiti hataweza kumrithi Mheshimiwa Mbowe kwenye uachaguzi ujao wa chama.

Wadadisi wa maswala ya uchaguzi wanaamini ya kwamba kwa viongozi wa Kanda waliopo kwa sasa, Mrithi halisi na ambae aataweza kuendeleza dhana ya chama (chgga kwanza) ni Mheshimiwa Godbless ambae amekuwa active saana kwenye mitandao ya kijamii kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba anaonekana na vijana wa chama kuwa ni jasiri na SHUPAVU hivyo anaweza kuwa mtu sahihi kumrithi kaka mheshimwa Mbowe ambae ni binadmu yake LEMA.

Nawasilisha wakuu
Wanaccm mnataka kutuchagulia Mwenyekiti??🤣🤣🤣🤣
 
FAKE NEWS
kudadadek CHADEMA inasumbua ma medula oblamngata ya watu.Anyways niwatakie jumapili njema na ukilewa dont drive please.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna cha fake News hapa,mradi wa LEMA kuw mwenyekiti unasukwa kwa ustadi mkubwa na kundi Mbowe kuhakikisha ya kwamba uwenyekiti anamkabidhi binamu yake
 
Mkuu hifadhi huu Uzi ,subiri tuone mwakani 2023,hutaamini
sasa Chadema ikichagua mwenyekiti mbovu si itakufa na ikifa si ndio furaha yenu nyie wanaccm wazee wamatunguli na mitulinga??
 
Unajua sasa hivi kuna maneno kuwa chama ni cha kikabila sasa ukimpa tena wa kaskazini chama kitakufa.Ndio maana Mtei alimuachia Bob Makani.
Halina ubishi mkuu ,hiki chama ni cha kikabila mnoo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom