OkayIngekuwa naweza kuwashauri na kushaurika…ningewashauri Uenyekiti apewe Joseph Mbilinyi…
Elizabet ni ndugu yako?Nimekuwa nafuatailia siasa za hiki Chama takribani miaka ishirini iliyopita. Kama sikosei hiki chama nafasi ya Mwenyekiti imewahi kuwa na wenyeviti watatu ambao wawili kati yao ni mtu na Mkwe wake yaani Freeman Mbowe na Mzee Edwin Mtei.
Kutokana na kelele nyingi saana toka ndani ya chama kutaka awepo mwenyekiti mwingine asietokana na uridhi wa kindugu, Mwenyekiti ambaye kwa sasa yupo mahabusu amekuwa na mawasiliano ya karibu saana na baadhi ya viongozi wa kanda wa chama kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba mrithi wake anatokana na safu wa viongozi wa kanda waliopo. Msingi haswa wa kutaka viongozi wa kanda ni kutaka kuhakikisha ya kuwa mheshimiwa Lissu ambae ni Makamu Mwenyekiti hataweza kumrithi Mheshimiwa Mbowe kwenye uachaguzi ujao wa chama.
Wadadisi wa maswala ya uchaguzi wanaamini ya kwamba kwa viongozi wa Kanda waliopo kwa sasa, Mrithi halisi na ambae aataweza kuendeleza dhana ya chama (chgga kwanza) ni Mheshimiwa Godbless ambae amekuwa active saana kwenye mitandao ya kijamii kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba anaonekana na vijana wa chama kuwa ni jasiri na SHUPAVU hivyo anaweza kuwa mtu sahihi kumrithi kaka mheshimwa Mbowe ambae ni binadmu yake LEMA.
Nawasilisha wakuu
Kwa hiyo Zitto wa kigoma ndo ana sura ya utaifa? Kwani wachaga walikufanya kitu gani we dada mana nawajua wanabebeshaga mimba Sana halafu wanatelekezaUkweli unaoujua, ndio utakaokuweka huru. Kwa sasa ardhi inahitaji uongozi, kuliko kitu chochote. Candidate yeyote atakayekuwa na sura ya utaifa na uzalendo, wananzengo wanampa. Maana kusema ukweli wamechoka. Sasa ushauri wangu kwa hawa makamanda ambao inaonekana wamekuwa katika ligi kwa miaka mingi, wanahitaji kujiimarisha ili wakidhi vigezo vinavyohitajika.
1. Wanahitaji kuondoka dhana ya jumuiya ya mahala ama utamaduni mmoja. Badala yake wachukue dhana ya Mwalimu Nyerere ya kuunganisha na kuwa na taifa moja lisilo na ubaguzi.
2. Wakubali na watambue kwamba matunda ya vita kama vile athari zake huwa ni kwa manufaa ama hasara ya taifa zima. Kwa msingi huo, wasijione kwamba wao wanastahiki keki kubwa zaidi ya uhuru kwa kuwa wamedhikika ama wamepambana mstari wa mbele, bali wajue uhuru wa kila eneo ni haki ya watu wote.
3. Ili kutimiza hayo, wathibitishe kwamba hawatakuwa watu wa visasi kama wataliban wa afghanistani ambao hatima yake ni kusababisha chuki, uchungu na vurugu zisizokoma.
4. Wahakikishe, ( hili ni la lazima), uongozi wa juu unagawanywa kwa watu mchanganyiko kktoka sehemu mbali mbali za nchi na tamaduni tofauti. Kuanzia ngazi ya juu, idara na kamatimbali mbali.
5. Waonyeshe uwezo na mwelekeo bora kuliko yaliyopo sasa.
Kwa kuendeleza mfumo wa kaskazini, bavicha, bawacha, taifa, sijui nini na nini kila mahala wakuu wa kaskazini, wengine wanatupiwa tupiwa tu kama mapambo, hapana. Hatufiki.
Jamani nipo Mimi kutoka Ukerewe😝😝Bora atoke tu kaskazini mradi kama ni mtu shupavu. Siyo hawa waunga juhudi mkono.
Kilichofanywa na katibu Dr Mashinji, na aliyegombea uenyekiti mara ya mwisho , yule mbunge alierudishwa bungeni na Ndugai baada ya kujiuzulu. Bora mtu strong hata kama ni wa Ukerewe . Siyo waunga juhudi
Nani dada? Mbona unamawazo mafupi sana? Nani kasema habari ya zito? Ongeza ufahamu.Kwa hiyo Zitto wa kigoma ndo ana sura ya utaifa? Kwani wachaga walikufanya kitu gani we dada mana nawajua wanabebeshaga mimba Sana halafu wanatelekeza
Tena halali kabisa na si ni mjomba ake Freeman aikaek MboweKwani Lema siyo mwanachama?
Tumpe basi Dr Mashinji🤣🤣🤣Wakimuweka mwenyekiti kutoka kaskazini watajifuta katika ramani za siasa za Tanzania.
Wanaccm mnataka kutuchagulia Mwenyekiti??🤣🤣🤣🤣Nimekuwa nafuatailia siasa za hiki Chama takribani miaka ishirini iliyopita. Kama sikosei hiki chama nafasi ya Mwenyekiti imewahi kuwa na wenyeviti watatu ambao wawili kati yao ni mtu na Mkwe wake yaani Freeman Mbowe na Mzee Edwin Mtei.
Kutokana na kelele nyingi saana toka ndani ya chama kutaka awepo mwenyekiti mwingine asietokana na uridhi wa kindugu, Mwenyekiti ambaye kwa sasa yupo mahabusu amekuwa na mawasiliano ya karibu saana na baadhi ya viongozi wa kanda wa chama kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba mrithi wake anatokana na safu wa viongozi wa kanda waliopo. Msingi haswa wa kutaka viongozi wa kanda ni kutaka kuhakikisha ya kuwa mheshimiwa Lissu ambae ni Makamu Mwenyekiti hataweza kumrithi Mheshimiwa Mbowe kwenye uachaguzi ujao wa chama.
Wadadisi wa maswala ya uchaguzi wanaamini ya kwamba kwa viongozi wa Kanda waliopo kwa sasa, Mrithi halisi na ambae aataweza kuendeleza dhana ya chama (chgga kwanza) ni Mheshimiwa Godbless ambae amekuwa active saana kwenye mitandao ya kijamii kwa nia ya kuhakikisha ya kwamba anaonekana na vijana wa chama kuwa ni jasiri na SHUPAVU hivyo anaweza kuwa mtu sahihi kumrithi kaka mheshimwa Mbowe ambae ni binadmu yake LEMA.
Nawasilisha wakuu
Hakuna cha fake News hapa,mradi wa LEMA kuw mwenyekiti unasukwa kwa ustadi mkubwa na kundi Mbowe kuhakikisha ya kwamba uwenyekiti anamkabidhi binamu yakeFAKE NEWS
kudadadek CHADEMA inasumbua ma medula oblamngata ya watu.Anyways niwatakie jumapili njema na ukilewa dont drive please.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unajua sasa hivi kuna maneno kuwa chama ni cha kikabila sasa ukimpa tena wa kaskazini chama kitakufa.Ndio maana Mtei alimuachia Bob Makani.Tumpe basi Dr Mashinji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sasa Chadema ikichagua mwenyekiti mbovu si itakufa na ikifa si ndio furaha yenu nyie wanaccm wazee wamatunguli na mitulinga??Mkuu hifadhi huu Uzi ,subiri tuone mwakani 2023,hutaamini
Mashinji alikuwa anabaguliwa mnooo ,kwa kuwa tu hakuwa na undugu na MwenyekitiTumpe basi Dr Mashinji🤣🤣🤣
Halina ubishi mkuu ,hiki chama ni cha kikabila mnooUnajua sasa hivi kuna maneno kuwa chama ni cha kikabila sasa ukimpa tena wa kaskazini chama kitakufa.Ndio maana Mtei alimuachia Bob Makani.
Lema apewe chama bana ni jasirisasa Chadema ikichagua mwenyekiti mbovu si itakufa na ikifa si ndio furaha yenu nyie wanaccm wazee wamatunguli na mitulinga??
Mtakonda kwa roho mbayaHalina ubishi mkuu ,hiki chama ni cha kikabila mnoo
Lema ni Mwanaccm siyo?Wanaccm mnataka kutuchagulia Mwenyekiti??🤣🤣🤣🤣