Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mambo yanaendelea kuwa moto.

Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia alihusika katika kampeni hiyo.

Lema anasema kuwa ni kweli yeye ndo alihusika kuanzishwa kwa kampeni na alikuwa ni Mwenyekiti lakini mara tu Mbowe alipotoka gerezani, aliachishwa kupokea updates kuhusu kampeni hiyo na Mbowe akajimilikisha

Lema anasema kuwa baada ya Mbowe kujimilikisha kampeni hiyo aliamua kujitoa.


 
1737089115728.jpg
 
Wakuu,

Mambo yanaendelea kuwa moto.

Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia alihusika katika kampeni hiyo.

Lema anasema kuwa ni kweli yeye ndo alihusika kuanzishwa kwa kampeni na alikuwa ni Mwenyekiti lakini mara tu Mbowe alipotoka gerezani, aliachishwa kupokea updates kuhusu kampeni hiyo na Mbowe akajimilikisha

Lema anasema kuwa baada ya Mbowe kujimilikisha kampeni hiyo aliamua kujitoa.


View attachment 3204346
MBOWE amwachie nani aokote maokoto?
 
Hiki chama kinaweza vuka hizi nyakati kikiwa na Nguvu sana au kikiwa kimedhorota...Mbowe ndio anaweza amua mustakabadhi wa hiki chama kwa kutumia busara ya kukaa pembeni.
Hivi hii tabia ya kuogopa uchaguzi imeanza lini?

Na ccm mtawaomba wawapishe wamekaa sana?

Katiba yenu Chadema inasemaje?

Chama kilichosheheni Wasomi na wanasheria mnashindwa kusoma katiba yenu?

Ndio maana inashangaza Lisu kuropoka mitaani wakati yeye ndio mamlaka ya nidhamu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.

Tutashtakiwa MIGA.
 
Wakuu,

Mambo yanaendelea kuwa moto.

Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia alihusika katika kampeni hiyo.

Lema anasema kuwa ni kweli yeye ndo alihusika kuanzishwa kwa kampeni na alikuwa ni Mwenyekiti lakini mara tu Mbowe alipotoka gerezani, aliachishwa kupokea updates kuhusu kampeni hiyo na Mbowe akajimilikisha

Lema anasema kuwa baada ya Mbowe kujimilikisha kampeni hiyo aliamua kujitoa.


View attachment 3204346
Saga saga kunguni
 
Back
Top Bottom