Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Lema, Msigwa na Lissu mlipanga Mapinduzi haramu kumpindua Mwenyekiti Mbowe wakati yupo gelezani hilo halina ubishi.
Wewe ni snich mzee - afu wachaga hawanaga tabia za hivyo.
Huyu ni Mmachame sio Mchaga
 
Wakuu,

Mambo yanaendelea kuwa moto.

Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia alihusika katika kampeni hiyo.

Lema anasema kuwa ni kweli yeye ndo alihusika kuanzishwa kwa kampeni na alikuwa ni Mwenyekiti lakini mara tu Mbowe alipotoka gerezani, aliachishwa kupokea updates kuhusu kampeni hiyo na Mbowe akajimilikisha

Lema anasema kuwa baada ya Mbowe kujimilikisha kampeni hiyo aliamua kujitoa.


View attachment 3204346
Kwani hiyo kampeni ya Join the chain ilikuwa ni mpango binafsi wa viongozi na sio rasmi mpango wa Chama?
Yaani kiongozi anawezaje kujimilikisha mpango wa Chama?
Na kiongozi anawezaje kujitoa kwenye shughuli rasmi za chama?
 
Kwani hiyo kampeni ya Join the chain ilikuwa ni mpango binafsi wa viongozi na sio rasmi mpango wa Chama?
Yaani kiongozi anawezaje kujimilikisha mpango wa Chama?
Na kiongozi anawezaje kujitoa kwenye shughuli rasmi za chama?
Maswali magumu haya.
 
Wee jamaa akili huna. Si umeshaambiwa kuwa mapendekezo ya kuitisha kikao cha maadili yanatolewa na kamati kuu? Kamati kuu team Mbowe ambao ni watuhmiwa wakubwa wa wizi na usanii wangekubali? Huwa unafuatilia mambo au unawasikiliza tu kina Wenje na Mbowe ambao ni wasanii??
Wewe una mavi kichwani, huyo Lisu amewaambia alikataliwa na kamati kuu?
 
😂 Mbowe anapigwa mbele na nyuma, kushoto na kulia, juu na chini 😂

Huyu mume wa Erythrocyte sidhani kama ataweza kupiga show vzr kipindi hiki cha uchaguzi
 
Hivi hii tabia ya kuogopa uchaguzi imeanza lini?

Na ccm mtawaomba wawapishe wamekaa sana?

Katiba yenu Chadema inasemaje?

Chama kilichosheheni Wasomi na wanasheria mnashindwa kusoma katiba yenu?

Ndio maana inashangaza Lisu kuropoka mitaani wakati yeye ndio mamlaka ya nidhamu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.

Tutashtakiwa MIGA.

Ghgws-PWgAA4Adu.jpeg
 
Wakuu,

Mambo yanaendelea kuwa moto.

Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia alihusika katika kampeni hiyo.

Lema anasema kuwa ni kweli yeye ndo alihusika kuanzishwa kwa kampeni na alikuwa ni Mwenyekiti lakini mara tu Mbowe alipotoka gerezani, aliachishwa kupokea updates kuhusu kampeni hiyo na Mbowe akajimilikisha

Lema anasema kuwa baada ya Mbowe kujimilikisha kampeni hiyo aliamua kujitoa.


View attachment 3204346
Mbowe si ndiyo mwenyekiti? Mbn CHADEMA ni jamii ya kambale? hakuna mkubwa, hakuna nidhamu. Ndiyo maana kwa mtindo huu CCM itatawala milele nchi hii
 
Mbowe si ndiyo mwenyekiti? Mbn CHADEMA ni jamii ya kambale? hakuna mkubwa, hakuna nidhamu. Ndiyo maana kwa mtindo huu CCM itatawala milele nchi hii
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema mamlaka ya nidhamu iko chini ya Tundu Lisu.

Haya ni matunda ya Tundu Lisu.
 
Tuliaminishwa ayatollah khemenei kaguta nkurunzinza mbowe ni tajiri 😄😄😄

Kumbe mwanetu anaishi kwa hesabu kali kupitia siasa🤣🤣🤣
Mwanetu Mugabe imewekwa wazi huwa hatoi pesa yake mfukoni bali hukusanya kwa wadau na kuleta kwenye chama lakini akileta kwa chama anawakopesha msaada haha baadae anazichukua ruzuku ikija...huu sio ujanja ni wizi maana amechangisha kwa kivuli cha chama
 
Back
Top Bottom