Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Hivi vijamaa ndouvipe serikali kweli? Chadema kinanafasi ya kugeuka chama cha wahuni na wavutabange kina mbowe
 
Hivi hii tabia ya kuogopa uchaguzi imeanza lini?

Na ccm mtawaomba wawapishe wamekaa sana?

Katiba yenu Chadema inasemaje?

Chama kilichosheheni Wasomi na wanasheria mnashindwa kusoma katiba yenu?

Ndio maana inashangaza Lisu kuropoka mitaani wakati yeye ndio mamlaka ya nidhamu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.

Tutashtakiwa MIGA.
CCM ni chama kikubwa sana kimejenga nidhamu ya miaka na miaka tangu enzi za kina Sozigwa, Mwakawago, Ndejembi Baba, Kingunge na wakongwe wengi wanaoongoza chama wakiwa nyuma ya pazia.

CHADEMA ndio kwanza kinaanza kujenga utamaduni wa kuandaa vijana wenye uwezo waje kuchukua nafasi ya wanasiasa wanaochoka kiumri na kiuongozi.

Bado sana CHADEMA.
 
Upande mmoja unamwaga uongo kama mtego...

Upande mwingine unalipuka kusimulia hali halisi ilivyokuwa...

Ajabu ni kwamba wote wapo kwenye chama kimoja...
 
Tutashtakiwa MIGA.

Imeenda hiyo:

GhfNpRNXoAAuh7s.jpeg


Hoja nafasi Ilikuwa jana!
 
Kwani hiyo kampeni ya Join the chain ilikuwa ni mpango binafsi wa viongozi na sio rasmi mpango wa Chama?
Yaani kiongozi anawezaje kujimilikisha mpango wa Chama?
Na kiongozi anawezaje kujitoa kwenye shughuli rasmi za chama?
Kabla ya tarehe 21 tutayasikia mengi sana. Hekima na busara inapungua hiki ni chama kinachoendelea kukua.

Wanapozidi kuchafuana tunayasikia yanayotakiwa yawe ni siri za vikao vya ndani.
 
CCM ni chama kikubwa sana kimejenga nidhamu ya miaka na miaka tangu enzi za kina Sozigwa, Mwakawago, Ndejembi Baba, Kingunge na wakongwe wengi wanaoongoza chama wakiwa nyuma ya pazia.

CHADEMA ndio kwanza kinaanza kujenga utamaduni wa kuandaa vijana wenye uwezo waje kuchukua nafasi ya wanasiasa wanaochoka kiumri na kiuongozi.

Bado sana CHADEMA.
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, Lisu kama makamu mwenyekiti ndio mamlaka ya nidhamu, mwenyekiti hausiki.

Sasa mkuu wa nidhamu ndio hana nidhamu na mdomo wake hauna breki, unategemea utazalisha vijana wa aina gani?

Matokeo yake ndio haya leo vijana ambao hawajazaliwa bado Mbowe alipambana na wazee pale Masaki kwa Mzee Kimesera kuianzisha Chadema kwa siri kabla ya vyama vingi kuruhusiwa tena Mbowe alikuwa kama karani tu wa kuwaandalia makablasha wazee kina Mtei, Wasira etc, leo hawa watoto waliojaa hapa JF ndio wanamtukana Mbowe.

Haya ndio matunda na mafanikio ya uongozi wa Tundu Lisu.
 
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, Lisu kama makamu mwenyekiti ndio mamlaka ya nidhamu, mwenyekiti hausiki.

Sasa mkuu wa nidhamu ndio hana nidhamu na mdomo wake hauna breki, unategemea utazalisha vijana wa aina gani?

Matokeo yake ndio haya leo vijana ambao hawajazaliwa bado Mbowe alipambana na wazee pale Masaki kwa Mzee Kimesera kuianzisha Chadema kwa siri kabla ya vyama vingi kuruhusiwa tena Mbowe alikuwa kama karani tu wa kuwaandalia makablasha wazee kina Mtei, Wasira etc, leo hawa watoto waliojaa hapa JF ndio wanamtukana Mbowe.

Haya ndio matunda na mafanikio ya uongozi wa Tundu Lisu.
Victor Kimesera mzee mmojakutoka Arusha, alikuwa member pale Gymkhana Club alikuwa na mke mzungu Mama mmoja mnene hivi.

Vijana wa juzi wanamuiga Lissu kuropoka hovyo.
 
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, Lisu kama makamu mwenyekiti ndio mamlaka ya nidhamu, mwenyekiti hausiki.

Sasa mkuu wa nidhamu ndio hana nidhamu na mdomo wake hauna breki, unategemea utazalisha vijana wa aina gani?

Matokeo yake ndio haya leo vijana ambao hawajazaliwa bado Mbowe alipambana na wazee pale Masaki kwa Mzee Kimesera kuianzisha Chadema kwa siri kabla ya vyama vingi kuruhusiwa tena Mbowe alikuwa kama karani tu wa kuwaandalia makablasha wazee kina Mtei, Wasira etc, leo hawa watoto waliojaa hapa JF ndio wanamtukana Mbowe.

Haya ndio matunda na mafanikio ya uongozi wa Tundu Lisu.
Kumbe Wasia ni muasisi wa Chadema. Sikupata kujua hilo
 
Hiki chama kinaweza vuka hizi nyakati kikiwa na Nguvu sana au kikiwa kimedhorota...Mbowe ndio anaweza amua mustakabadhi wa hiki chama kwa kutumia busara ya kukaa pembeni.
Mbowe hawezi kukaa pembeni Wala kutumia busara kwa Sababu anafuata maelekezo ya waliomtoa hela na sio vinginevyo na sio kwamba busara Hana Wala hajui anayoyafanya ni mambo hasi kwa CDM .
 
Back
Top Bottom