GODBLESS LEMA: Nimeondoka Tanzania ili niwe na amani ya moyo mimi na Familia yangu. Sitashiriki Uchaguzi wa leo wa kanda

asepe zake huko ccm ni yetu watz na samia ni wetu na serikali ni yetu wananchi aishie huko

 
Kumbe ukimbizi wa kisiasa unalipa!
Sana tu mfano yeye Lema ukimbizi wake ni wa kuwa sponsored unafadhiliwa kuwa mkimbizi na mashirika au taasisi zenye pesa kuwa watajlkugharimia wao hela yake ndefu tofauti na wale waomba tu ukimbizi kwenye serikali husika

Kuwapata sio kazi rahisi lazima uwe na connection
 
Nimeelewa neno moja tu NO REFORM NO ELECTION kisha nimeelewa maudhui yoote ya waraka huu.

Twende na TAL🀣🀣🀣
Nilitaka kukuhukumu kwa kuangalia Avatar yako bila kuangalia content...sorry !
 
Fanyeni hima mumchague Lisu Ili Sasa tuone kama uchaguzi Mkuu wa 2025 hautafanyika maana hapo inaweza kuwa ngekewa kubwa Kwa CCM
 
Acha uongo lema alitangaza mda sana kutokugombea nafasi ya kanda ya kaskazini
 
Ameona Mbowe anampotezea muda. Bora akabebe box kuliko kuhadaiwa na biashara-siasa ya Mbowe. Inauma sana mtu anapojitoa 100% kwenye mapambano kumbe kiongozi mkuu ni pandikizi la mnaye pambana naye. Hongera Lema kwa maamuzi magumu.
It's very painful indeed
 
Lema na Lisu wabinafsi sana kama jura hawapigiwi wao hawataki kupigia wengine

Lema angepiga kura basi kwanza ndio aondoke lakini kwa kuwa yeye sio mgombea kaona ujinga kaondoka zake anavizia 2025 ndio aibuke kutaka kura toka kwa wengine

Lisu pia uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha kabisa wala kupiga kura apigie wengine sasa kaona yeye kagombea si kelele hizo za kutaka yeye apigiwe kura

Hawa watu wabinafsi mno Chadema shitukeni

Lisu mpigeni chini mapema mno kwenye sanduku la kura

Mtu gani huyo kazi kuvizia kushiriki kama yeye mpigiwa kura? Mpigeni chini
 
 

Attachments

  • 20241219_172147.jpg
    120.3 KB · Views: 1
Chama kilichokufa lazima kimezikwa. Kisingeongelewa na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…