Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Jikite kwenye madaKwamba hawezi kuomba kibali kwa mlevi Mbowe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye madaKwamba hawezi kuomba kibali kwa mlevi Mbowe!
Siku maiti zikipiga chafya ,hayatesha majuto yao na watalia ma kusaga majinoNdiyo maana nasema nyie CCM ni wajinga sn mnavalisha mitumba watanzania sababu ya ulafi wenu
Hatari snSiku maiti zikipiga chafya ,hayatesha majuto yao na watalia ma kusaga majino
Unavaaje chupi ya mtuu, mwenzako kachafua na mimanii yakeee na mwengine karushia maji jaman, hv inawezekanaje jamani,wewe ndo hauko sawa ,nyie ndo hua mnaenda kwa wanaume zenu ,nimenunua shati orijino karume lamtumba (huo ndo umasikini) unavaaje nguo aliyovua mwanadamu mwezako akaitupa ikaokotwa ikapigwa pafyumu na madawa isioze ikasafrisha afrika ukanunua wakati genuine zipo madukani na gharama kuanzia 100000 na 80000 ..huo ni umasikini wakipato na akili
Sijawahi kuona chupi a mitumba siku nyingi sana.kwani kasema uongo ndo maana leo kuna magonjwa mengi ya sehemu za siri
Wew ni Mtanzania, hope na Mke wako mpendwa ni Mtanzania, kwaiyo nayeye kavaa chupi ya Mtumba. Can you prove me wrong??Ndiyo maana nasema nyie CCM ni wajinga sn mnavalisha mitumba watanzania sababu ya ulafi wenu
Baada ya kumalizana na HAMAS, Njoo umalizane na hawa pia.Wajinga wakubwa nyie mnawavalisha watanzania mitumba na wakati tunalima pamba n.k. Shame on you
Sijafikiwa ufukara kama wa wapiga kura wenuWew ni Mtanzania, hope na Mke wako mpendwa ni Mtanzania, kwaiyo nayeye kavaa chupi ya Mtumba. Can you prove me wrong??
HAMAS tayari hawana issue tena kuna IranBaada ya kumalizana na HAMAS, Njoo umalizane na hawa pia.
Ukweli ndio huo mitumba inatudhalilisha wakati wakulima wa pamba ni sisi.lema kichwa chake hakiko sawa