yaani hilo jizi ndiyo liwe li nabii kweli mmekosa manabii na chama lenu la kupumbavuWacha ujinga wewe.Mwizi wa magari hawezi kuwa nabii wa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani hilo jizi ndiyo liwe li nabii kweli mmekosa manabii na chama lenu la kupumbavuWacha ujinga wewe.Mwizi wa magari hawezi kuwa nabii wa Mungu.
kuwa na adabu kwa mwizi wa magari mpuuzi mmoja yule acheni kumchosha muumbajiJifunze kua na adabu
Kama alikuibia gari ya baba yako au mama yako leta bili tukulipe ,acha upumbavukuwa na adabu kwa mwizi wa magari mpuuzi mmoja yule acheni kumchosha muumbaji
ndiyo manabii wa chadema hao waropoka hovyoooo ila watu wana roho ngumu sana sasa puuzi kama hili unalisikiliza la niniNabii feki anaropoka kitu gani leo?
Uyu ni M23 sio mtz kama ni mtz Milembe anahusikaUnateseka ukiwa kijiji gani hapo Tanzania
wajinga ndiyo waliwao ccm mbele kwa mbele mtahenya sana mwaka huuUyu ni M23 sio mtz kama ni mtz Milembe anahusika
Hapo umeshalewa pombe za offer unajiona bonge la mjanja.Chadema ukoo wa kambale 🐼
Ccm hipi ? Fanyeni reform muonea hata m 4 mtafikishawajinga ndiyo waliwao ccm mbele kwa mbele mtahenya sana mwaka huu
Hilo la Mungu mnasingizia tu, hata kuthibitisha kwamba yupo hamuwezi.Safi sana Nabii wa Mungu
We are not commissioned by Matthew 28 to score debating points.Our job is to get to know our savior so well that our very very presence reflects his nature.Hilo la Mungu mnasingizia tu, hata kuthibitisha kwamba yupo hamuwezi.
Hii ni public space si kanisani au nyumbani kwako, si kila mtu anakiamini au kukikubali hicho kitabu chako.We are not commissioned by Matthew 28 to score debating points.Our job is to get to know our savior so well that our very very presence reflects his nature.
Bar ile inayoonyesha kuwa battery charge imebakia asilimia 90Upo bar gani sahivi?
Mwizi ni mwizi tu.Hata umpake rangi ni mwizi tu.Kuhusu upumbavu dalili mojawapo ni kutukana badala ya kutetea hoja yako.Bora mwizi wa Magari kuliko wezi wa nchi, pumbavu