MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wakija kushtuka wamechelewaHii tabia aliyoasisi Lissu ya Kila Mtu kuitisha press conference Kuna siku itawagharimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakija kushtuka wamechelewaHii tabia aliyoasisi Lissu ya Kila Mtu kuitisha press conference Kuna siku itawagharimu.
Hatari snBar ile inayoonyesha kuwa battery charge imebakia asilimia 90
Kama ccm tu. Haijulikani msemaji ni Wasira au Makala wa Bongo danceChadema ukoo wa kambale 🐼
Wanauza sura 🐼Kama ccm tu. Haijulikani msemaji ni Wasira au Makala wa Bongo dance
Wewe nd ndumila kuwili na isivyo bahati nafasi yako ya kuleta mada za CDM enzi za FAM zimefifia sana na kijiti cha kutamba mitandaoni (social media-trending) imechukuliwa na Godbless Lema ambaye hana sifa na hadhi ya kuwa nabii kwa chochoteSafi sana Nabii wa Mungu
Kweni kasema nabii wa Allah mbona umekuja mbio mbio.Mungu yupi?
Lengo letu ni kuhakikisha habari za Chadema zinasambaa kwa kasi mitandaoni, bila kujali anayezileta ni nani, na tumefanikiwa sana, kuna damu changa zimeingia ziko fasta sana!Wewe nd ndumila kuwili na isivyo bahati nafasi yako ya kuleta mada za CDM enzi za FAM zimefifia sana na kijiti cha kutamba mitandaoni (social media-trending) imechukuliwa na Godbless Lema ambaye hana sifa na hadhi ya kuwa nabii kwa chochote
Muumba mbingu na ArdhiMungu yupi?
MmmmmMuumba mbingu na Ardhi
Savior. initial letter must start with capital letterWe are not commissioned by Matthew 28 to score debating points.Our job is to get to know our savior so well that our very very presence reflects his nature.
digitalization processSiasa siasani
Utaumia sana safari hii, mabadiliko ni kitu kisichoepukika.ndiyo manabii wa chadema hao waropoka hovyoooo ila watu wana roho ngumu sana sasa puuzi kama hili unalisikiliza la nini
Bora wewe huna upande lakini yule nabii wa kujivika mwenyewe ana upande wake unajulikana angalia msije kusigana pahala mkachafua hali ya hewa ErythrocyteLengo letu ni kuhakikisha habari za Chadema zinasambaa kwa kasi mitandaoni, bila kujali anayezileta ni nani, na tumefanikiwa sana, kuna damu changa zimeingia ziko fasta sana!
Viongozi watapita lakini Chadema itabakiBora wewe huna upande lakini yule nabii wa kujivika mwenyewe ana upande wake unajulikana angalia msije kusigana pahala mkachafua hali ya hewa Erythrocyte
Wewe kifafa mbona unahangaika sana na Chadema huyo mumeo unamhudumia muda gani muda wote uko na Chadema tu? Ukiona waandishi hawaulizi swali ina maana maelezo yamejitosheleza.Lema ndio afisa habari chadema? Jana Lema kaongea nini ? Au kawatabisha tu media? Maana waandishi hata swala 1 hawakuuliza. Wapi umeona mkutano unakosa swala la waandishi?