Pre GE2025 Godbless Lema watangaza kufanya tukio kubwa Tarehe 27 Februari, 2025 ikiwemo kuzindua kampeni ya kidigitiali

Pre GE2025 Godbless Lema watangaza kufanya tukio kubwa Tarehe 27 Februari, 2025 ikiwemo kuzindua kampeni ya kidigitiali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anaongea nini huyo, kwani chama hakina msemaji?
 
Siku hiyo tutawalazimisha wananchi walale saa 12. Hakuna kufuatilia mambo hayo
 
Wewe nd ndumila kuwili na isivyo bahati nafasi yako ya kuleta mada za CDM enzi za FAM zimefifia sana na kijiti cha kutamba mitandaoni (social media-trending) imechukuliwa na Godbless Lema ambaye hana sifa na hadhi ya kuwa nabii kwa chochote
Lengo letu ni kuhakikisha habari za Chadema zinasambaa kwa kasi mitandaoni, bila kujali anayezileta ni nani, na tumefanikiwa sana, kuna damu changa zimeingia ziko fasta sana!
 
We are not commissioned by Matthew 28 to score debating points.Our job is to get to know our savior so well that our very very presence reflects his nature.
Savior. initial letter must start with capital letter
 
ndiyo manabii wa chadema hao waropoka hovyoooo ila watu wana roho ngumu sana sasa puuzi kama hili unalisikiliza la nini
Utaumia sana safari hii, mabadiliko ni kitu kisichoepukika.
 
Lengo letu ni kuhakikisha habari za Chadema zinasambaa kwa kasi mitandaoni, bila kujali anayezileta ni nani, na tumefanikiwa sana, kuna damu changa zimeingia ziko fasta sana!
Bora wewe huna upande lakini yule nabii wa kujivika mwenyewe ana upande wake unajulikana angalia msije kusigana pahala mkachafua hali ya hewa Erythrocyte
 
Yarehe 27 nchi inakwenda kusimama, CCM wameomba TFF siku hiyo iwepo mtani JEMBE pale Lupaso kuanzia saa 12 kamili jioni.
 
Lema ndio afisa habari chadema? Jana Lema kaongea nini ? Au kawatabisha tu media? Maana waandishi hata swala 1 hawakuuliza. Wapi umeona mkutano unakosa swala la waandishi?
 
Lema ndio afisa habari chadema? Jana Lema kaongea nini ? Au kawatabisha tu media? Maana waandishi hata swala 1 hawakuuliza. Wapi umeona mkutano unakosa swala la waandishi?
Wewe kifafa mbona unahangaika sana na Chadema huyo mumeo unamhudumia muda gani muda wote uko na Chadema tu? Ukiona waandishi hawaulizi swali ina maana maelezo yamejitosheleza.
 
Back
Top Bottom