Mwana CCM GODFREY MALISA ameamua kusema ukweli.
"Sasa hivi tayari inafahamika kwamba Chama cha Mapinduzi katika Mkutano wake Mkuu kilipitisha kwa kauli moja na kumtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM, jambo hili nilipolisikia sikuamini kwamba tumefikia hapa kwanini?, kwasababu CCM ni chama makini, ni chama kinachoheshimu demokrasia, ni chama kinachozingatia demokrasia na katiba ya nchi, haijawahi katika historia ya chama cha mapinduzi kufanyika haya yaliyofanyika leo (tarehe 19/1/2025), kitu cha ajabu kabisa, ninasikitika kwamba tunawezaje kufika mahali hapa kwa wazi wazi Chama kinacho heshimu demokrasia kuwanyima Wanachama wanaotaka kugombea nafasi ya Urais wa nchi kwa mujibu wa katiba ya CCM na kwa mujibu wa Katiba ya Nchi.."
1. Kwa mahakama za Juma hupati lolote, I am sorry for this statement
2. Naogopa ya Kibao!
"Sasa hivi tayari inafahamika kwamba Chama cha Mapinduzi katika Mkutano wake Mkuu kilipitisha kwa kauli moja na kumtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM, jambo hili nilipolisikia sikuamini kwamba tumefikia hapa kwanini?, kwasababu CCM ni chama makini, ni chama kinachoheshimu demokrasia, ni chama kinachozingatia demokrasia na katiba ya nchi, haijawahi katika historia ya chama cha mapinduzi kufanyika haya yaliyofanyika leo (tarehe 19/1/2025), kitu cha ajabu kabisa, ninasikitika kwamba tunawezaje kufika mahali hapa kwa wazi wazi Chama kinacho heshimu demokrasia kuwanyima Wanachama wanaotaka kugombea nafasi ya Urais wa nchi kwa mujibu wa katiba ya CCM na kwa mujibu wa Katiba ya Nchi.."
1. Kwa mahakama za Juma hupati lolote, I am sorry for this statement
2. Naogopa ya Kibao!