Hakuna haja ya kujibu kejeli ndugu..tukio la machi 2021 mbona hatukusikia kejeli, chunga mdomo kwa unayotamka..SHIKA JEMBE UKALIME ENDAPO KAMA HUNA KAZI YA KUFANYA MEKU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna haja ya kujibu kejeli ndugu..tukio la machi 2021 mbona hatukusikia kejeli, chunga mdomo kwa unayotamka..SHIKA JEMBE UKALIME ENDAPO KAMA HUNA KAZI YA KUFANYA MEKU
Amtie MsukosukoNamuona kwa mbaaali Afande Mafwele akipiga jaramba.
SI HERI HUYU ALIYEONYESHA NIA YA KWENDA MAHAKAMANI? SASA UNAOGOPA KUFA KWA AJILI YA NCHI YAKO? OVYO KABISA!Ataokotwa kwenye fukwe za Ziwa Tanganyika au pengine Hatutamsikia tena.
Kwa nyongeza huo pia ulikuwa mkutano mkuu maalumu na upo kwa mujibu wa KatibaMkutano ule ulijumlisha Wajumbe wote,
1-Halmashauri kuu,
2-mkutano mkuu,
3-kamati kuu,
Wana haki kwa mujibu wa ibara - - b,
Kutengua kanuni, kwa sababu fulani,
N. B, kwa wasioelewa, ilionekana ni busara kufanya hili, ili iwe nafuu katika kuokoa fedha kwa vikao vya April - may, kumbuka mikutano hii hutumia fedha nyingi.
Rais Samia mitano tena.
Ampoteze kwenye uso wa dunia.Amtie Msukosuko
Unakijua anachokilalamikia?Huyu dish limeyumba, haijui Katiba ya CCM Wala ya JMT.
Kwa mujibu wa Katiba ya JMT Rais Samia anamalizia kipindi chake cha Kwanza na ataanza kipindi chake cha mwisho 2025 - 2030.
Sasa hili zee la CHADEMA Malisa atwambie lini Mgombea wa CCM katika kipindi chake cha pili alishindanishwa ndani ya chama?
Huyu bwege anatafuta "LIKES" tu.Mwana CCM GODFREY MALISA ameamua kusema ukweli.
"Sasa hivi tayari inafahamika kwamba Chama cha Mapinduzi katika Mkutano wake Mkuu kilipitisha kwa kauli moja na kumtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM, jambo hili nilipolisikia sikuamini kwamba tumefikia hapa kwanini?, kwasababu CCM ni chama makini, ni chama kinachoheshimu demokrasia, ni chama kinachozingatia demokrasia na katiba ya nchi, haijawahi katika historia ya chama cha mapinduzi kufanyika haya yaliyofanyika leo (tarehe 19/1/2025)."
View attachment 3208448
1. Kwa mahakama za Juma hupati lolote, I am sorry for this statement
2. Naogopa ya Kibao!
Kwenda mahakamani si lazima kesi unayofungua ushinde lkn ni kutoa nafasi kwa aliyekosea kujirekebisha na kuweka records pia kwa kizazi kijacho kuona aina za uhalifu na uvunjifu wa katiba ulivyofanyika huku vyombo vya kusimamia haki vikitizama bila kufanya lolote..ili km lipo la kujifunza walichukue!Tena Juma Ambaye Yupo Kwenye Nyongeza Ya Kazi
Taratibu Walizojiwekea Kukiukwa, Uharaka Wa Kumteua Makamu MwenyekitiUnakijua anachokilalamikia?
Tatizo sio kuogopa kufa kwa ajili ya nchi yako.SI HERI HUYU ALIYEONYESHA NIA YA KWENDA MAHAKAMANI? SASA UNAOGOPA KUFA KWA AJILI YA NCHI YAKO? OVYO KABISA!
CC Fumadilu KalimanzilaTaratibu Walizojiwekea Kukiukwa, Uharaka Wa Kumteua Makamu Mwenyekiti
Kumbe Nyuma Wana Agenda Ya Siri, Wanazipitisha Chap Chap
Tanzania Nzima Watia Nia Kugombea Nafasi Ya Rais
Wakiwa Hawana Habari
Tafsiri ya Hali Ambayo Mkutano Mkuu wa CCM Unachagua Mgombea Mmoja Pekee Kwa Nafasi ya Urais Kupitia Azimio la KikaoMwana CCM GODFREY MALISA ameamua kusema ukweli.
"Sasa hivi tayari inafahamika kwamba Chama cha Mapinduzi katika Mkutano wake Mkuu kilipitisha kwa kauli moja na kumtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM, jambo hili nilipolisikia sikuamini kwamba tumefikia hapa kwanini?, kwasababu CCM ni chama makini, ni chama kinachoheshimu demokrasia, ni chama kinachozingatia demokrasia na katiba ya nchi, haijawahi katika historia ya chama cha mapinduzi kufanyika haya yaliyofanyika leo (tarehe 19/1/2025), kitu cha ajabu kabisa, ninasikitika kwamba tunawezaje kufika mahali hapa kwa wazi wazi Chama kinacho heshimu demokrasia kuwanyima Wanachama wanaotaka kugombea nafasi ya Urais wa nchi kwa mujibu wa katiba ya CCM na kwa mujibu wa Katiba ya Nchi.."
View attachment 3208448
1. Kwa mahakama za
Nimecheka sana,maana nimefungua nikaona siwezi kumsubir amalizeTatizo unaongea kama kinyonga! Muda wa kukusubiri mpaka umalize jambo la dakika 30 wewe masaa kumi na mb25.6 hatuna