CHADEMA
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 490
- 2,471
Kesi namba 11805/2024 inayomkabili aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob na Godlisten Malisa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Saalam limeahirishwa hadi tarehe 04 Julai 2024 ambapo usikilizwaji wa awali wa shauri hilo utaanza.
Baada ya kesi hiyo kuahirishwa, Jeshi la Polisi limemkamata Godlisten Malisa kwa kile walichodai ana shitaka jipya mkoani Kilimanjaro. Asubuhi hii Jeshi hilo limeanza safari ya kumpeleka Mkoani Kilimanjaro.
Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
- Boniface Jacob na Godlisten Malissa Wafikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
- Hatimaye Malissa na Boniface Jackob waachiwa kwa dhamana
Sababu ya Malisa kupelekwa Kilimanjaro soma:
- Adolf Mkenda atajwa kuwa chanzo cha Godlisten Malissa kukamatwa tena
- Aliyemchoma Mwanamke visu 25 na kumsababisha Kifo afariki dunia akiwa chini ya ulinzi
Baada ya kesi hiyo kuahirishwa, Jeshi la Polisi limemkamata Godlisten Malisa kwa kile walichodai ana shitaka jipya mkoani Kilimanjaro. Asubuhi hii Jeshi hilo limeanza safari ya kumpeleka Mkoani Kilimanjaro.
Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
- Boniface Jacob na Godlisten Malissa Wafikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
- Hatimaye Malissa na Boniface Jackob waachiwa kwa dhamana
Sababu ya Malisa kupelekwa Kilimanjaro soma:
- Adolf Mkenda atajwa kuwa chanzo cha Godlisten Malissa kukamatwa tena
- Aliyemchoma Mwanamke visu 25 na kumsababisha Kifo afariki dunia akiwa chini ya ulinzi
