Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
Mkuu kumbe!!!Huyu mchaga ana dharau sana, alianza kutoa vimeseji vya kutukana viongozi kwa dharau kubwa, yaani bado hajasema.
Hajui kwamba kuna post alitoa akimsingizia Waziri kuhusika na kumficha muuwaji huko Rombo. Watu wakamkaushia tu, sasa ataenda kumenya karanga kwenye mtondoo huko Gereza la Karanga. Na jimbo analolitaka atalipata akiwa segere matata, hukumu 2025 August 2025