Kuna ulazima wa kutaja mchaggaHuyu mchaga ana dharau sana, alianza kutoa vimeseji vya kutukana viongozi kwa dharau kubwa, yaani bado hajasema.
Hajui kwamba kuna post alitoa akimsingizia Waziri kuhusika na kumficha muuwaji huko Rombo. Watu wakamkaushia tu, sasa ataenda kumenya karanga kwenye mtondoo huko Gereza la Karanga. Na jimbo analolitaka atalipata akiwa segere matata, hukumu 2025 August 2025
Kua mpinzani tanzania ni tatizoMpaka anakamatwa yawezekana wamejiridhisha tayari.
UsinipangieKuna ulazima wa kutaja mchagga
Ila haimkati Makonda.Ni vizuri akawajibika kwa makosa yake, hakuna namna nyingine. sheria ni msumeno.
Unajifanya huwajui polisi wa Tz au unaishi nje ya nchi?Mpaka anakamatwa yawezekana wamejiridhisha tayari.
Shetani hana rafiki, leo ni Malissa kesho ni weweMpaka anakamatwa yawezekana wamejiridhisha tayari.
Hili jeshi na lenyewe kuna wakati huwa linakosa kazi za msingi za kufanya.
Huyu jamaa anasaidia wahitaji wengi sana. Watu kama hawa unapowaombea dua mbaya mara nyingi huwa inaenda kinyume kwasababu nyuma yake kuna watu wengi wakiwemo watoto wanaomuombea azidi kubarikiwa. Ukipambana nae sana utajikuta unakutana na mkono wa Mungu.wacha wanyooshwe wakome hao wachochezi
Alafu abeti kadi nyekundu itoleweHakuna jambo baya kama kuskia eti refa kabeti...βΉοΈ
hakuna haja ya kubabaika,Unaokata pande zote au upande mmoja? Iko wapi kesi ya kijana wa CCM Aliyetamka hadharani kupoteza maisha ya watu??
wasilisha mashaka yako dhidi yake panapohusika tuone πIla haimkati Makonda.
uelewa na ufahamu mdogo juu ya mambo haya ni changamoto pia πUhuru wa mtandaoni bado ni mdogo sana Tz. Sitetei lakini just imagine mtu kakutwa na case ya kusambaza taarifa za uongo lakini anaenda kupekuliwa nyumbani kwake, how?π€. Hii ndiyo maana binafsi naona ipo haja kubwa sana ya bunge kutunga sheria inayohusiana na Usalama Mtandaoni (Cybersecurity Act) kwaajili ya kutulinda wananchi tutumiapo mitandao.
You can also read: Thread: "SAUTI YA KESHO: Safari ya Uhuru Katika Vyombo vya Habari na Mtandao Tanzania".
tena bila ya ulazima wowote πVijana hebu nendeni polepole, watu wenu wa karibu watahangaika tu bure
Asante kwa taarifa.Polisi wanatumikishwa kibwege sana
πππ€wacha wanyooshwe wakome hao wachochezi
π€£ π€£ π€£lkn tz raha sana, unaandika kwenye mitandao wanaenda kusachi maneno nyumbani