Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro

Mkuu kumbe!!!
 
Huyu jamaa watamsumbua sana.
Kama vipi ajiondokee TZ..
 
Viongozi na wafuasi wa CDM wanakinga yakutokamatwa na jeshi la Polisi.

Nimewaza tu maana nimeona kila akikamatwa mfuasi au kiongozi wa CDM tayari ni kama tunakimbilia kuhusisha na mambo ya siasa.

Tutambue tu hawa nao ni raia tu kama sisi wana tabia na maisha yao nje ya hizi siasa.
 
walimchochea nani na nani kachocheka
 
wacha wanyooshwe wakome hao wachochezi

Hata kama huna akili kubwa. Jitihidi kuitumia ndogo uliyo nayo.

Ebu tuambie, huyo Malisa amekuchochea ufanye nini?
 
Trump ana makosa ya kutaka kupindua matokeo ya Urais pamoja kuiba nyaraka za siri za serikali ya Marekani lakini hajawahi kukamatwa uchunguzi wa hizi tuhuma zake ukifanyika, sasa huyu Malisa ana makosa gani makubwa zaidi ya haya??

Unajua sifa ya kuwa Polisi Tanzania? Ukilijua hilo, huwezi kushangaa.
 
#Updates
Usiku huu @MalisaGJ_ amefikishwa Moshi mjini, na Jeshi la Polisi limempeleka moja kwa moja ofisi ya RCO. Wakili Peter Kidumbuyo ameambatana na Malisa katika mahojiano hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…