Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
UPDATE:
Malisa yupo salama
Habari tulizozipata hivi punde Malissa anashikiliwa na watu wasiojulikana, wamfuata nyumbani kwake Mbezi Beach
Watu wanaodaiwa ni Maafisa wa Usalama wa Taifa wamemvamia Godlisten Malissa maeneo ya Mbezi Beach.
Chochote kitakacho tokea juu ya Godlisten wao ndio watakua na majibu.
=======
UPDATES;
Anaandika Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema
Kamanda Malisa Godlisten yuko salama. Ni kweli nyumba alipokuwa ilivamiwa na watu waliojitambulisha kuwa Ni maafisa usalama wakiwa na silaha, wamefanya upekuzi wao na wameondoka na watu 2 ila Malisa yuko salama. Nimeongea naye.
Malisa yupo salama
Habari tulizozipata hivi punde Malissa anashikiliwa na watu wasiojulikana, wamfuata nyumbani kwake Mbezi Beach
Watu wanaodaiwa ni Maafisa wa Usalama wa Taifa wamemvamia Godlisten Malissa maeneo ya Mbezi Beach.
Chochote kitakacho tokea juu ya Godlisten wao ndio watakua na majibu.
=======
UPDATES;
Anaandika Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema
Kamanda Malisa Godlisten yuko salama. Ni kweli nyumba alipokuwa ilivamiwa na watu waliojitambulisha kuwa Ni maafisa usalama wakiwa na silaha, wamefanya upekuzi wao na wameondoka na watu 2 ila Malisa yuko salama. Nimeongea naye.
Malisa Godlisten said:Tumefuatwana watu waliojitambulisha kuwa askari usiku huu na kuwekwa chini ya ulinzi kwa muda. Nilimjulisha Boniface Jacob ambaye amefika, na baada ya upekuzi 'askari' hao wameondoka. Tupo salama. Nawashukuru wote kwa kujali.!