Tetesi: Godlisten Malisa avamiwa na watu wasiojulikana Mbezi Beach

Tetesi: Godlisten Malisa avamiwa na watu wasiojulikana Mbezi Beach

Status
Not open for further replies.
Mimi mwenyewe naona Kuna (MKAKATI) wa Kutusakama>kutulege>Kutuvuluga>

Kutusambalatisha, Watu au Vijana Wenye>
Erementi >za Tundu Lissu na huu mpango umekaziwa Sana baada ya Lissu kuonyesha( nia) ya urais na ziara za nje.

Ukionyesha >kumwelewa lisu imeshakua shida kubwa Awamu hii ya Jiwe... Sasa kunachangamoto kua mpinzani.

Zaidi na zaidi ukiwa unamwelewa Sana lissu > mimi mwenyewe nimepata msukosuko baada ya kuonyesha dalili za lissu >kwenye mji wetu!

Aluta continuea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una nini hadi ufuatwefuatwe kwenye huo mji wako au unataka tu promo,hiyo ndio shida ya kuamuka na kimpumu.
 
Mimi mwenyewe naona Kuna (MKAKATI) wa Kutusakama>kutulege>Kutuvuluga>

Kutusambalatisha, Watu au Vijana Wenye>
Erementi >za Tundu Lissu na huu mpango umekaziwa Sana baada ya Lissu kuonyesha( nia) ya urais na ziara za nje.

Ukionyesha >kumwelewa lisu imeshakua shida kubwa Awamu hii ya Jiwe... Sasa kunachangamoto kua mpinzani.

Zaidi na zaidi ukiwa unamwelewa Sana lissu > mimi mwenyewe nimepata msukosuko baada ya kuonyesha dalili za lissu >kwenye mji wetu!

Aluta continuea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kujikwaza nyie,hivi huoni mnayaleta wenyewe,mbona kulitulia baada ya mbowe kuwa mahabusu ametoka tu tunasikia malisa kavamiwa.Bado hujanote tuuuuuu.shaulizako mnazungukana wenyewe.
 
inaweza ikawa ngumu ku deal na hawa watekaji na huyo master minder wao. lakini wana familia zao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom