Mlisema hivyohivyo kwa Ben, wauaji wakubwaHuyo Malisa Hana Umuhimu Wowote Anatafuta Umaarufu Kwa Nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlisema hivyohivyo kwa Ben, wauaji wakubwaHuyo Malisa Hana Umuhimu Wowote Anatafuta Umaarufu Kwa Nguvu
Wewe una nini hadi ufuatwefuatwe kwenye huo mji wako au unataka tu promo,hiyo ndio shida ya kuamuka na kimpumu.Mimi mwenyewe naona Kuna (MKAKATI) wa Kutusakama>kutulege>Kutuvuluga>
Kutusambalatisha, Watu au Vijana Wenye>
Erementi >za Tundu Lissu na huu mpango umekaziwa Sana baada ya Lissu kuonyesha( nia) ya urais na ziara za nje.
Ukionyesha >kumwelewa lisu imeshakua shida kubwa Awamu hii ya Jiwe... Sasa kunachangamoto kua mpinzani.
Zaidi na zaidi ukiwa unamwelewa Sana lissu > mimi mwenyewe nimepata msukosuko baada ya kuonyesha dalili za lissu >kwenye mji wetu!
Aluta continuea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kujikwaza nyie,hivi huoni mnayaleta wenyewe,mbona kulitulia baada ya mbowe kuwa mahabusu ametoka tu tunasikia malisa kavamiwa.Bado hujanote tuuuuuu.shaulizako mnazungukana wenyewe.Mimi mwenyewe naona Kuna (MKAKATI) wa Kutusakama>kutulege>Kutuvuluga>
Kutusambalatisha, Watu au Vijana Wenye>
Erementi >za Tundu Lissu na huu mpango umekaziwa Sana baada ya Lissu kuonyesha( nia) ya urais na ziara za nje.
Ukionyesha >kumwelewa lisu imeshakua shida kubwa Awamu hii ya Jiwe... Sasa kunachangamoto kua mpinzani.
Zaidi na zaidi ukiwa unamwelewa Sana lissu > mimi mwenyewe nimepata msukosuko baada ya kuonyesha dalili za lissu >kwenye mji wetu!
Aluta continuea.
Sent using Jamii Forums mobile app