Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye yeyeni Malissa Godlizen au?
Ooh sikujuaNi mwanaharakati wa Chadema
kama na ninyi mlivyokosa dili mkaamua kumnunua FISADI papaUzushii wa chadema......baada ya umaarufu kupungua sasa wanautafuta kwa nguvu yoyote......
Siku tukichoka na huu upuuzi wa kutekana tekana sijui mtatuweka magereza gani tutakayo enea na sidhani kama mna silaha kubwa na nzito zaidi ya umma!.Pumbavu sana na washenzi wote mnaofanya upuuzi huu, Birch!
Duuh haya bhana.ngoja tusubirie KIFUATACHOTaarifa za hivi punde zinaeleza kuwa watu wanaodai kuwa maafisa usalama wamemvamia Mwanachama wa Chadema Malisa GJ maeneo ya Mbezi Beach. Chochote kitakachotokea juu yake wao ndio watakuwa na majibu!
View attachment 1041861
Watu hawabahatishi mkuuKama sikosei Mkuu Chakaza alisema kwamba nafsi yake ina hofu kutokepo mtu mmoja airport kunaweza kutokea jambo lisilo jema. Kumbe alikua sahihi.
Na wewe ipo siku utajua JF imevuka mipaka na sio nchi moja