TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
una matatizo makubwa sanaUnamaanisha mtu anaacha kujenga zahanati kijijini kwao anaenda kujenga pango la kusuuzwa akili halafu unasema watu waige? Kuwa serious basi. Na hapa sio kwa sababu ya udini, hapana, hata angejenga kanisa, bado si mfano wa kuigwa, labda shule ya msingi.
Utumwa katika picha, hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu,Wahindi,Wachina hawakufanywa Slaves? - JamiiForums