Godlisten Malisa: Ili tuweze kusafirisha umeme sisi wenyewe kwa tija inabidi tujenge vituo vya kupozea njiani

Hizo njia zikitumika kutoa umeme Rufiji kwenda Arusha na Kilimanjaro nguzo zinaungua?
Yaani watu wa Ethiopia wao wanazalisha umeme kwa kutumia mchanga ambao TANESCO hawawezi kuwatuma wataalam wao wakajifunze namna ya kuzalisha umeme ambo ata ikipotea bado wanabaki na faida.
 
Hawezi maana kama mimi nimeelewa kwa shida sana mchaga yule alivyo na kichwa kigumu Sidhani.
 

Hoja ya Malisa juu ya umbali wa kusafirisha umeme na gharama zake kwa kudai kuwa eti hatuhusiki kwenye gharama za usafirishaji kwa kuwa tunaupokelea Namanga, ni sawa na mteja anayekaa Dar anayedhani kuwa akinunua mahindi hapo sokoni kariakoo hahusiki na fact kuwa yamesafirishwa kutoka Iringa, na yeye kama mteja atahusika tu kulipia gharama ya usafirishaji katika bei atakayouziwa!.
 
Sio mtaalamu wa umeme lakini namna ulivyoeleza nimeelewa mno na nimeshawishika , kama taifa hili halijakuweka kitengo chochote Cha usimamizi au ushauri nikiri kabisa taifa limetukosea sana sisi WATANZANIA
 
Sikushikii dude, kama umesoma sana, unaona ni sawa na wewe ni electrical engineer umewazidi walioamua kufanya hivo. Mimi ni nani nikubishie. Sawa nimekuelewa engineer, jamaa wezi sana. Kuna agenda wanasukuma.
 
Uvivu wa kufanya vitu vipya, uvivu wa kufanya vitu vya kesho isio lnekana miaka 50 mbele.. kama kujenga kituo kimoja ni bilion 20 vinne bilion 80 kama nchi tunakoswa hela kama hiyo? Kusema inachukua muda muda gani? JPM alituonesha tukiwa serious vitu tulivyozoea kuchukua muda vinakuwa havichukui muda huo tunao amainishwa (usimamizi). Mimi sion haja ya kununua umeme bora tujenge hivyo vituo hadi Arusha ili sisi tuwauzie hizo nchi huko Mipakani.
 
Wakimaliza kufanya hivyo waruhusu watu binafsi pia kuwauzia umeme wa ziada tunaozalisha majumbani, maofisini na viwandani.
Uwepo wa mini-grids na energy markets, Ndiyo njia pekee na rahisi kutokomeza tatizo la umeme nchini Tanganyika
 
aisee Ethiopia wako vizuri sana

Sasa mkuu sisi tunanunua kutoka Kenya au kutoka Ethiopia ?
 
I thought like you..
 
Kuna jambo kubwa sana la maana ambalo halizungumzwi. Ujerumani akiuza au akinunua umeme Ufaransa anatumia Euro. Pesa ambayo nchi zote zinatumia. Sisi tukinunua umeme Ethiopia tutalipa kwa dola. MW100 zitagharimu karibu dola milioni 70 kwa mwaka. Bora kupoteza MW17 wakati wa kusafirisha kuliko kutoa hizo dola ambazo zingesaidia kununua vitu vya maana zaidi kama vifaa tiba, madawa, machine, kulipa deni la ujenzi wa bwawa la Nyerere nk nk.
 

Wewe akili kubwa!
Yaani BIG BRAIN.
Utakuwa umesoma special school.
Ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…