Godlisten Malisa: Nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu

Godlisten Malisa: Nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu

Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
uchaguzi wenu wenyewe tena ni uongozi wa chama tu unawamaliza wenyewe ajabu sana dah..
wa nchi kwa mfano itakuje sasa...

chuki binafsi miongoni mwa wana cdm na uchu wa madaraka ya uongozi wa juu utawamaliza 🐒
 
Kila siku nasema humu.. Uharakati Tanzania ni mgumu.. ukiangalia hapo huyo Malissa hawazi tena kuhusu TANZANIA, KATIBA , MABADIRIKO anawaza WATOTO wake na Maisha yake itakuwaje.

Ifikie muda tuangalie familia zetu kwanza.. maswala ya kupambania watu ambao hawajielewi itakugharimu Maisha huku hao watu hawana habari wala msaada wowote na ww.
Kuwa mwanaharakat inahitaj ujitoe haswa hata kama unaowapigania hawakuelewi, kwasababu ipo siku kupitia harakati hizo watu watakuja kuelewa na kukuunga mkono na hatimae mabadiliko.

Ndio maana sio kila mtu anaweza kuwa mwanaharakat kwasababu ni kazi ngumu mno maana kufa, kutekwa, kuumizwa na kufungwa jela ni kugusa tu.

Uana harakati ni wito, kama hauna wito basi kaa na familia yako nyumbani unless uwe tayar kupoteza kila kitu kwenye maisha yako.
 
Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.

Katika nyakati ngumu ambazo viongozi makini wanatakiwa kujitofautisha na wakurupukaji Mr. Freeman Mbowe anajitokeza na kuonesha utofauti!
Ni wajinga tu ndo wanafikiri suluhisho la utekaji, utesaji na uuaji ni kumshmbulia Masauni!
Ndiyo ana matatizo yake... Lakini haya matukio ya utekaji, utesaji na uuaji kimsingi yapo nje ya mamlaka yake!
Masauni ni waziri wa mapolisi, uhamiaji na magereza. Sasa fuatulia matukio yote...bila shaka utaona kuratibu na utekelezaji wake hauwashirikishi polisi! Polisi nao wanapigwa na bumbuwazi! Meaning kwamba kuna mamlaka ya juu zaidi inatoa maelekezo!

Kuna Sheria ilitungwa kuhamishia shughuli za TISS na Vikosi kazi moja kwa moja Ikulu na Sheria hiyo hiyo ikawapa ukuu dhidi ya Sheria zilizopo. Wanaripoti Ikulu na Wana Kinga dhidi ya matendo yao maovu!

Kifupi ni kwamba... Ikulu inahusika kwa kujua ama kwa kutokujua kwa haya yanayoendelea nchini!

Nilitegemea mjadili mambo ya msingi na ikibidi ingieni barabarani ili Dunia ijue yanayoendelea nchini badala ya kumshambulia Masauni.
 
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
Masauni hawezi fanya lolote,lawama zote ziende kwa wabunge ,ile sheria mnaikumbuka.? Ile ya. Idara usalama kwamba wamepewa uwezo, hawatashitakiwa kwa matendo yao. Tuwakatae wabunge kwenye box la kura
 
Wazee wa Tanga msituangushe ,wapige Kurujuani kuwamaliza hao watekaji....Enough is enough ,imefika mwisho sasa! Wakati umefika kukiteketeza hicho kikundi cha "wasiojulikana" kwa kutumia Kurujuani.
 
Mimi nafikiri dawa ya awa wauaji na watekaji ni kuwaombea albadili au kurjuani, kwamba yeyote aliyeshiriki kupanga, kuteka, kuua, kutoa maagizo na wote wanaousika albadili na kurjuani iwasagesage isiache ata unyayo wa mtu wao na familia zao ili kusudi uchungu wanaoupata walioondokewa na ndugu zao na wao waupate vile vile nafikiri itasaidia, kwakuwa wanaotuhumiwa ndio hao hao wanaojichunguza ulishaona wapi upuuzi wa namna iyo? Yani mwizi ajikamate kwamba ameiba?
Mkuu,
Hayo mambo ni yaki Imani nakubar kila mbinu itumike SAWA.

Kikubwa ni kushinikiza kuleta Scott yard au any independent investigative institution ije ichunguze kitu ambacho serikali ya CCM haito ki ruhusu.

Maumivu SANAA
 
Ni sahihi alichofanya Mbowe sababu ingesababisha mauaji mengine
Naamini umenena vyema tena kwa upeo mkubwa sana. Kuna namna watu wengi hapo waliokolewa na kifo na kifungo cha gerezani muda mrefu na mateso makali. Polisi na watu wa usalama ambao waziri yule ni bosi wao walishajiandaa kwa lolote ambalo lingetokea msibani na ndio maana walikua na ujasiri wa kumtuma aende msibani tena aombe dua. Hakuna anayejua kwa namna gani watu hao (polisi) wamejipanga kufyatua risasi au njia nyingine yoyote kumuokoa waziri kutoka kadhia hiyo ambayo naamini ingeambatana na watu kufanya vurugu wakimtaka aondoke eneo husika. Inabidi sasa itumike njia nyingine kuhakikisha ujumbe unafika.
 
Naamini umenena vyema tena kwa upeo mkubwa sana. Kuna namna watu wengi hapo waliokolewa na kifo na kifungo cha gerezani muda mrefu na mateso makali. Polisi na watu wa usalama ambao waziri yule ni bosi wao walishajiandaa kwa lolote ambalo lingetokea msibani na ndio maana walikua na ujasiri wa kumtuma aende msibani tena aombe dua. Hakuna anayejua kwa namna gani watu hao (polisi) wamejipanga kufyatua risasi au njia nyingine yoyote kumuokoa waziri kutoka kadhia hiyo ambayo naamini ingeambatana na watu kufanya vurugu wakimtaka aondoke eneo husika. Inabidi sasa itumike njia nyingine kuhakikisha ujumbe unafika.
Hekima na busara
 
Uj
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
Ujumbe kwa Masauni ulifika. Mbowe alisimama kuweka udhibiti wa hali ya hewa tu.
 
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
Malisa na genge lake waendelee tu kutakana viongozi kwa kisingizio cha demokrasia
 
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
Huyu naye! Kwa lipi hasa? Kuchangisha michango ya wagonjwa?
 
Uj

Ujumbe kwa Masauni ulifika. Mbowe alisimama kuweka udhibiti wa hali ya hewa tu.
Sahihi kabisa. Naendelea kupata taarifa na kukubaliana na wewe, vyombo vingi vya habari havioneshi hata maneno au speech ya G Lema akimueleza Masauni ukweli na halisi halisi ya mambo pamoja na matarajio ya huko mbeleni,.
 
Wewe nyumbu kwahiyo Masauni kushambuliwa pale msibani ni sahihi? Acha kutetea upumbavu. Mshukuruni sana Mbowe kwa busara zake. Watu kama wewe na Malisa ni hatari sana kwa usalama na umoja wa taifa. Mnahalalisha uovu kisa itikadi tofauti. Kwa hizo akili zenu mna tofauti gani na wauaji wanaosakwa kwa sasa?
Hebu jaribu kusoma nilichoandika mstari kwa mstari halafu uje usome ulichoandika ulinganishe then ujipige kifuani mara tatu useme "mimi ni mjinga" na sijui kuchambua na kuchanganua mambo kiasi cha kuweza kupeleka hoja kwa jamii nayo ikanielewa vyema. Nina mashaka na mambo matatu (1) Umri wako (2) Elimu yako (3) Malezi yako. Mambo haya kwa kiasi kikubwa huwa yanajionesha kwa namna ambavyo unawsilisha maoni na mtazamo wako kwa mambo yanayogusa jamii kubwa. Namna yako ya uwasilishaji inabainisha dhahiri kwamba kuna tatizo mahali na kamwe huendi kwa uhalisia wa mambo bali matamanio. Sikupaswa kukujadili wewe binafsi katika hili lakini ni kutokana na ukweli kwamba jukwaa linalokufaa ni FACEBOOK ambalu kwa kiasi kikubwa halina watu wenye fikra tunduizi zinazolenga kujenga au kuleta mitazamo yenye mantiki na maslahi mapana ya jamii ya Kitanzania.
 
Msipumbazwe na CCM wala Polisi hata kwa dakika Moja. Hawana lolote. Wanacheza na Saikolojia ya watu....

Upande huu: Hebu kasikilize tamko la Polisi leo.....

Wako in a panic mode na ni full kuweweseka. Hebu fikiria, utapigaje marufuku kitu ambacho hakipo? Yaani CHADEMA kutamka tu "tutaandamana nchi nzima", polisi inapiga marufuku tamko lililokwisha toka? Really....?

Haya upande wa pili: Wasikilize CCM ktk Press Conference yao ambapo Katibu mkuu wao Dr Emmanuel Nchimbi alikuwa msemaji. Check body language yake. Ingia akilini mwake kisha fuatilia kila neno alilosema. Ni full mshituko. CCM nao wako in a panic mode. Wameona wazi kuwa wameshakuwa politically outsmarted na CHADEMA...

Ilikuwa ni lazima watoke kivingine kudhibiti political damage iliyokwisha kusababishwa na kifo cha Mzee Ally Kibao na CHADEMA kuanza kukitumia kama key Factor ya kupusha agenda yao kisiasa....

Kwa msiojua ni kuwa, huyu jamaa (Dr Nchimbi) ni kachero wa TISS mbobevu. Walichokisema polisi ni kama alichokisema Dr Nchimbi lakini katika lugha na style tofauti lakini agenda na motives zao zikiwa zilezile...

Msikilize Dr Nchimbi alichoongea juu ya John Mnyika, Freeman Mbowe na Tundu Lissu. Kawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa maarufu kitaalamu kama Psychological manipulation.....

Unaweza kudhani polisi na CCM wanawapenda sana Tundu Lissu, John Mnyika na Freeman Mbowe.....

Msidanganyike hiyo ni style ya kumrushia mahindi kuku atakaye kuchinjwa, asogee akamatwe na kisha apigwe kisu....!!

Rais Samia + Bunge + mahakama + CCM kwa kutumia vyombo hivi Polisi na TISS wote ni kitu kimoja na ajenda yao ni moja - CHADEMA ni kikwazo, "...tufanyeje?" Walijiuliza kwenye kikao chao.....

JIBU LIKAWA: Piga muhimili wao Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Mnyika, kazi itakuwa imeisha.....!

Msidanganyike, nakazia➡️. HAKUNA UCHUNGUZI WOWOTE WA MAUJI HAYA UNAOFANYIKA...!!!

Utekaji, uteswaji na mauaji haya yote ya watu wengine na hususani wana - CHADEMA ni kwa sababu wanaotafutwa hawajapatikana bado: Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Mnyika...
 
Bi Kizimkazi ajiandae BWANA hatomwacha. Ninaona Mungu wa Majeshi akimshughulikia
 
Back
Top Bottom